Tuliowahi kutembea kwa sababu ya kukosa nauli tukutane hapa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu Mimi rekodi zangu nimevunja hapa hapa dar inatokea nishakula nauli kwa hiyo option ya mwisho ikawa Ni kuprint by ngoko.nishatoka kariakoo mpaka segerea kwa mguu,pia route ya ubungo mpaka buguruni Mara kibao tu.ni nyakati tu zinatokea katika maisha.hapa yenyewe Sina hela mfukoni wakuu naona Bora hata nisimwombe mtu nitembee tu Niko mubashara barabarani napiga Hamza kanuni mdogo mdogo kutoka posta mpaka buguruni.tutadata tutanyoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
miaka hiyo nilimsindikiza girlfriend wangu shuleni kwao alikua akisoma boarding huko sanya juu basi nilispend hela nyingi kweli njiani, nilimfikisha shule tukaagana vizuri na hug za kujifichaficha as shule ilikua ni ya masista, basi wakati naondoka alirudi akanipa elfu tano nikamuuliza yanini hakunijibu akaondoka, basi nilirudi nikapanda hiace mpaka boma halafu niende Arusha cha ajabu ni kwamba baada ya kujisearch sikuwa na hela nyingine yeoyote zaidi ya ile 5000 aliyonipa...........
 
We umetembea hapo tu unaanzisha thread wakati mi nishatembea toka Dar hadi Bagamoyo hadi nikaanza kuhisi harufu ya mishkaki inanukia kumbe ma.pumbu yangu mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"ᴬ ᵍᵒᵒᵈ ᵖˡᵃⁿ ᵛⁱᵒˡᵉⁿᵗˡʸ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵒʷ ⁱˢ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ ᵗʰᵃⁿ ᵃ ᵖᵉʳᶠᵉᶜᵗ ᵖˡᵃⁿ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵉˣᵗ ʷᵉᵉᵏ"
 
Alikua ana akili sana huyu bint,kwa sasa yuko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3] ka chai
 
😀😀😀 Nna wasiwasi na alichokufanya huyo girlfriend wako...
 
[emoji3] ka chai
True hiyo

"ᴬ ᵍᵒᵒᵈ ᵖˡᵃⁿ ᵛⁱᵒˡᵉⁿᵗˡʸ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵒʷ ⁱˢ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ ᵗʰᵃⁿ ᵃ ᵖᵉʳᶠᵉᶜᵗ ᵖˡᵃⁿ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵉˣᵗ ʷᵉᵉᵏ"
 
Time ago baada ya kumaliza advance, nilipitia kipindi frani cha msoto, nikapata kaajira somewhere in mnazi mmoja, mwezi wa Kwanza kwenye hicho kiajira rout ya mnazi mmoja to tbt kimanga, zilikuwa common Sana kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…