Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Daa! Pole sana. Unaweza kudhani una majanga, kumbe kuna wengine wanakumbana na majanga kukuzidi!
 
Pole

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Shida ilianzia kwenye ID yako, wenye majina kama ID yako mnapenda sana mikopo
 
Ndio ujue kwamba maisha ya mtanzania mmoja yanareflect malaki ya watanzania wengine. Kile unachopitia wewe kuna wengine elfu 10 wanapitia the same kwa wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ya watz kwa kiasi kikubwa yanafanana
Kama kwenye misosi mchana familia nyingi ugali usiku ndio wali 😄
 
Nina mkopo wa 1M point...
Leo natakiwa nianze rejesho ila pesa yote imeishia kwenye harus
Nawazaaaaa
Miujuza itendeke tuu
Pole sana dada yangu , naamini utatokea muujiza wewe mwenyewe hutaamini .

Ila ukimaliza huu mkopo jitahidi kwa kila hali ukae mbali na mikopo aisee!
 
Enzi hizo naanza maisha nilikopa Kikoba Cha bimkubwa kama kilo 3 nilipanga nilipige sopu sopu geto langu.

Ebhana we Ile Hela nilit.o.mbea na mitikasi mingine isiyo na akili nilipanga na kibunda.

Niliteseka miezi 3 napaswa nilipe ulie mkopo hatimae niliumaliza

Ulinufundisha sana ule mkopo.

Leo nakopa kwa akili na mipango

Kopa wekeza mradi wenye tija.

Robaert Toru Kiyosaki anasema use other people's money to create your own wealth

Katu situmie my hard earned money kuwekeza natumia Hela za watu[emoji1]
 
Pole sana. Hii ilishawahi kunikuta ila nilichofanya ni kulipa nusu nusu kama miezi miwili deni likaisha. Hapo nilishalipa riba kama miezi 4
Nafkri na Mimi nifanye hivyo. For real nateseka sana. Yaani kesho niende kuongea nao mkopo usimame wenyewe bila riba. Waki goma hata mahakamn wanifunge tu[emoji24].
 
Mwanangu DeepPond hata mimi kuanzia September sielewi kabisa. Rejesho langu 3m napata kichaa
Acha kabisa mkuu,
Mimi nishapunguzahata Kasi ya kuagiza mzigo,

Usipoenda kwa timing
Unajikuta una mzigo mkubwa dukan na wateja hamna na hapo hapo unadaiwa rejesho.

Mwisho wa siku unajikuta unajumlisha mzigo kwa Bei ya hasara ili upate rejesho
 
Acha kabisa mkuu,
Mimi nishapunguzahata Kasi ya kuagiza mzigo,

Usipoenda kwa timing
Unajikuta una mzigo mkubwa dukan na wateja hamna na hapo hapo unadaiwa rejesho.

Mwisho wa siku unajikuta unajumlisha mzigo kwa Bei ya hasara ili upate rejesho
Sio Siri. Mkop utakua mzuri if mambo yakienda vzr. Ila ikiwa vice versa utajuta. Kuna muda mtu anakusemesha badala ya kumjibu una jichekesha kwa stress
 
Mimi nilikopa laki 5 kwa riba ya 20%. Ilikua mwaka Jana huez amini mpaka Leo sija maliza napeleka riba tu. Nasogeza rejesho mbele[emoji24][emoji24] sjui nitatokaje hapa na mishe ndo kama Zina nigomea hivi
Pole saa mkuu,
Jitahd umalize uwe hurt
Kingine, usichukulie mikopo ya MDA mrefu
 
Niliwahi mdhamini mtu black akakimbia ..marejesho yakawa juu yangu na wakati huo Nina setback ya maana[emoji23][emoji23]nilitamani ardhi ipasuke.. nashukuru nilimaliza ila Cha Moto nilikiona
Dah! Pole sana
 
Mimi tangia August sielewi naona nyota nyota tu!,ila mwenyezi Mungu ni mwema atanifanyia wepesi inshaallah!,ila watu wa benk wanapiga simu hadi natamani nitie block wote [emoji851]
Wanaudhi balaa,
Huu mwaka tangu June Ni manyota nyota TU, hauelweki na hela hamna mtaani.
 
Ndio ujue kwamba maisha ya mtanzania mmoja yanareflect malaki ya watanzania wengine. Kile unachopitia wewe kuna wengine elfu 10 wanapitia the same kwa wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahii kabisa umemuelimisha,
Watu Wana pitia magumu Sana Seema hawasemi, jf imetoa first ya watu kufunguka[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…