Tuliowahi kutongoza mademu mijeda wakiwa kwenye gwanda tubadilishane uzoefu

Baba umekwishaa.
Mimi nilimtongoZa mjeda kwenye dala dala hivyo hivyo.
Akachukua hashtag yangu

Akakaa kama wiki hajanitafuta.
Ila nilimuelekeza ninapoishi .
Kumbe cheupe mjeda alipoteza # yangu kwa hio alikuwa anatafuta muda aje mitaa yangu kunisorora.
J2 asubuhi natoka zangu church ila nakatisha kwenye resta moja ambayo ndio nilimpa direction akasema anapajua nakuta gwanda mbili zimenyuti.

Kucheki sura moja naifaham na inatabasamu.

Nikajivuta taratibunikasalimia kwa heshima sana.

Huku nikijichekesha chekesha.

Nikauliza kuwa namba umepoteza nini akasema ndio.

Basi tukakaa pale wakapiga supu fresh.
Ila plan zangu nikasema hapa hata kwa dawa siwapeleki skani.

Manake huyu anaweza hata akazuka mida ya naiti kali ikawa nongwa.

Stori mbili tatu wakasepa zao nikasave na namba yake.

Basi zikaanza text kwa sana (hapendi whatsapp)
Nikamvuta mtoto kwenye lodge moja akala mijeledi.

Mjeda alikuwa mtamu balaa.
Hanaga ille mambo ya nimechoka.
Ila alikuwa ananishushia kipigo sana.
Nikichelewa tu sehemu dakika tano basi ujue laZime nile mateke.

Hii issue ilikuwa inaniumiza sana.
Sku moja tupo The game yeye yupo kwenye gwanda mimi kawaida ila watu wote wakituangalia unaeza ukadhani kuwa sisi wote ni wajeda.

Basi nikawa nasorora chura moja matata ambayo ilipota pembeni yetu.

Aisee nilikula teke moja chini.
Wale wafanya kazi wakapotea na wateja wote wakapotea.

Nikajifanya mdogo.
Akasema na tukitoka hapa tunaenda wote kwako moja kwa moja.
Nikasema poa .


Kwenye counter nikalipa kwa kadi na ile kadi nikampa nikamwambia kaa nayo.
Akaichukua.

Tukivyofika pale pembeni ya kfc nikamwambia ngoja niende tigo shop nakuja agiza msosi.

Nikatembea sijarudi tena.

Nikawapigia sim FNB bank kuwa ninepoteza kadi ya sim na ile mitaa nilikuwa nimebakiza kodi ya mwezi baada ya wiki nikahama.

Love you dada mjeda
 
Hongera sana mkuu kwa kuopoa mjeda
 
Soooo
 
Mkuu kaa mbali na uyo askari
 
Teh teh teh! Naichukua picha alivyokulamba teke ukaenda chini teh!! Pole sana mkuu!!

Mie wangu alikuwa polite sana ila akihisi kuna bint namzengea aisee yule binti ataipata.

Alinifanya nifahamike kwa mabinti na waniogope sana hata salamu zangu hawapokei
 
Hahahhahahahahaha

Eti experience hasa kwenye hiki kipengele cha kukutana karibu na kambini....
 
Utajipeleka mtegoni mwenyewe! Simu atampa mume wake mjeshi au mtu wake mjeshi na utawasiliana naye Kwa SMS kisha atakudaka vizuri!!! Wengi walishalizwa Kwa mtindo huo na wakajikuta wanakula mkong'oto wa nguvu na kulazimika kutoa pesa ili waachiwe maana hutishiwa kupelekwa mahakamani Kwa kushawishi "wake" za watu! Kijana pole umeliwa!
 
unaenda kambi ya jeshi kufuata mwanamke,unaenda kudundwa
 
JF,kuna v2ko sana...,naona watu wameshaanza kuitania serikali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…