Hahah mkuu Majivuno mda mwingn hayafai, jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake alikuwa anapiga, kwa kutaka kujionyesha akapokea simu na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulalianaπ π π π π π π π π πHahaha huna maana wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah mkuu Majivuno mda mwingn hayafai, jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake alikuwa anapiga, kwa kutaka kujionyesha akapokea simu na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo jamaa nlienda kwenye harusi yake , aisee yaliyotokea huko
Cc manengelo
ππππ Hapo unalala chali mpka asubuhi au unapewa magnesium unyweDaaah et yule mtoto mpoole mkimya kavimbiwa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo long time kitambo mkuu, hapo tabia na mwili havifanani kabisaWe acha bwana urafi huu