muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
[emoji1] [emoji1] [emoji1] vipi mkuu, kwa hiyo sasa hivi pesa si shida kwako?Mimi nliambiwa nikifuga chawa nitakuwa na hela ukubwani
Tupo mkuu [emoji1] [emoji1]chawa mpo?
Hahahahaaaaa, hilo silo la kuuliza. Hata mtu akikngelea BMW, Benz, harrier, Nissan, jakuzi, swimming pool n.k navyo vinaelezea mazingira aliyokulia mtu.Duuuhhhh ngoja nitanie kidogo!!!!!
Mara nyingi ,,chawa ,,kunguni ,,mende ,panya ,,,huwa vinaelezea familia malezi ya MTU alokulia.
Kumbe haikuwa kweli[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji1] [emoji1] [emoji1] vipi mkuu, kwa hiyo sasa hivi pesa si shida kwako?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kumbe haikuwa kweli[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hahahaha kunguni ni level ingine ukihama nae mmoja unabadiri historia ya malezi kwenu.Duuuhhhh ngoja nitanie kidogo!!!!!
Mara nyingi ,,chawa ,,kunguni ,,mende ,panya ,,,huwa vinaelezea familia malezi ya MTU alokulia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bwana mifugo yuko wapi siku hizi? Au ni wewe unazuga tu?Kuja jamaa shuleni walimkuta na chawa basi tangu siku hiyo akapewa jina la Bwana mifugo
Sijui yupo wapi siku hizi yule jamaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bwana mifugo yuko wapi siku hizi? Au ni wewe unazuga tu?
HAHAHAHA umenikumbusha kisa cha jana kwenye daladala tulikumbana na kunguniMambo vipi watemi?
Ebanaee tulio wahi kuwa na chawa tukutane hapa tubadilishane uzoefu. Binafsi nilipokuwa mdogo mpaka darasa la pili nilikuwa na chawa wengi sana kiasi kwamba kichwa kilikuwa cheupe kama mvi kwa sababu ya mayai ya chawa. Basi bibi alikuwa ananiita halafu anazitafuna nywele zangu ili kuvunja mayai ya chawa.
Vipi uzoefu wako!
Chawa wakoje??Mambo vipi watemi?
Ebanaee tulio wahi kuwa na chawa tukutane hapa tubadilishane uzoefu. Binafsi nilipokuwa mdogo mpaka darasa la pili nilikuwa na chawa wengi sana kiasi kwamba kichwa kilikuwa cheupe kama mvi kwa sababu ya mayai ya chawa. Basi bibi alikuwa ananiita halafu anazitafuna nywele zangu ili kuvunja mayai ya chawa.
Vipi uzoefu wako!
Hizi trends za threads za TUKUTANE HAPA zinaelekea kubaya sasa...mwishowee hadi mashoga nao watasema tukutane hapa
Mkuu, ya mashoga labda uianzishe wewe! Halafu nadhani hujui hili ni jukwaa gani!Hizi trends za threads za TUKUTANE HAPA zinaelekea kubaya sasa...mwishowee hadi mashoga nao watasema tukutane hapa