Wewe baby doll ,,ID yako tu inanielezea mengi kukuhusu wewe !!.Siyo utani! Upo sahihi[emoji119]
Exactly yes..my name is....(Do.....)Wewe baby doll ,,ID yako tu inanielezea mengi kukuhusu wewe !!.
The only thing ur ID have not told me is ur Really name !!.[emoji5]
Hahahahahahaha well nice to meet you ,,I am Mr.right someone told me you were looking for me ?.Exactly yes..my name is....(Do.....)
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Nah..Hahahahahahaha well nice to meet you ,,I am Mr.right someone told me you were looking for me ?.
Ooppps maybe izi ndoto nazo zinasumbua ,,itakua tulikutana ndotoni tu .Nah..
Hahahaaaa, mkuu wewe ulikuwa ni hatari! Tuwekee picha yako ya enzi hizo basi [emoji1] [emoji1] [emoji1]Chawa kwa kweli ni uchafu tu japo wazazi walisema eti Damu inapendwa na Chawa. Nilikuwa na wote kichwani na nguoni, weupe kwa weusi, na funza miguuni, hatari sana kwakweli sipendagi nikumbuke aiseeee.
Mkuu haya maisha hayako fair! [emoji1] [emoji1] [emoji1]Af kuna watu dunia hii eti hawamjui kunguni!!.....haya maisha haya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Af kuna watu dunia hii eti hawamjui kunguni!!.....haya maisha haya
Ni kweli mkuu, lakini hata ukiwa siyo mchafu ukijisahau utashangaa unao tu!Kuwa na chawa ni dalili kuwa wew ni mchafu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa shuleni walimkuta na chawa basi tangu siku hiyo akapewa jina la Bwana mifugo