sikia wewe utakua hujui kama unashareSasa kushare mi ndo nlipata F, hiki kipengele labda niwe sjui,lakin najua kabisa nashare tena na wenzangu sio mwenzang[emoji23] anko wako akae tu pemben
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hongera zakee aisee nimefunga nimeamua kupumzika napambana na jf tuKajifungua tayari kababy boy. Na wewe kwanini umefunga? Ndo maana sioni comment zako kwa Milly [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangusikia wewe utakua hujui kama unashare
kwanza huyo Shunie ni muongo
anko wake namjua long time kitambo macho yake kama mwizi mwizi unaweza ukaona anacheka kumbe amekasirika
niamini mimi
bandiko kwa maana uzi wa kutafuta mpenzi!!!!!????[emoji32][emoji32][emoji32][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aiseee cjui labda ujarbu
Kuweka bandiko sku moja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo hiii?? Na mimi utasema wakuchukue tu kibonge huna issue.
Hahahhahahaa uwiii nimecheeeeka kwa sauti,et hapana chezea mbunye ya mzigua90 a.ka. mwanaid mtoto wa bujibuji.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]inatema harufu kama panya[emoji23][emoji23][emoji23]aaaaai hakika umenchekesha
Duh! Mbona unamwaga siri za ndani hadharani?Mxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
Njema sana dadanguAhsante sana Kaka. Kitambo sana ujue.
Za hapo maeneo ?
ndio maana nakupenda sana muwazi wangiu, sasa kama ulitani shauri yakoHahaaa. Nakukumbuka sana tu. [emoji85] [emoji85] [emoji85] .
Ila nimecheka duuh.
Ndyo mkuu unajarbu kuweka tubandiko kwa maana uzi wa kutafuta mpenzi!!!!!????[emoji32][emoji32][emoji32]
aliyekwambia dawa ya moto ni moto alikudanganyaJaman
Si ndio nakutetea tena
Nipe location nijilete unificheumepotea hadi nimekukulupua ulipofichwa japo nilitamani nikufiche mimi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ivuga sitaki kupigwa humu ujue. [emoji40]ndio maana nakupenda sana muwazi wangiu, sasa kama ulitani shauri yako
Nafurahi kukuona tena ukiwa mzima na bukheri wa afya.Njema sana dadangu
sawa best yaishe.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ivuga sitaki kupigwa humu ujue. [emoji40]