Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Kupitia PM nimekutana na watu ambao hawafananii hata kidogo kwa Avatar, ID na ata waongeavyo.
PM raha sana siwezi acha kuja kutumia..
🙂🙂🙂🙂

Kwasasa natafuta passcode ya Kasie mahaba matata🙂
Hahahahahaa
 
sio wehu,, huo mtakko mwenyewe kuna siku niliandika pm sema nikashtuka nikaifuta kabla.. manake hips tamu kama za Mzigua90
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Utakuja uende pm za wanaume wenzio kwa njaa. Halafu hips zangu umeziona wapi beb?
 
Huyo kizee tayar tu ni ugonjwa tosha alivyo tongoza tongozaa kila mtu akimwona sahv anam mendea kassie naona wataendana mana ni kibibi na kibabu
Yani kanishinda. Kawa kama fisi sasa hivi akiona nyama tu mate yanamdondoka. Atatuua huyu.
 
Wengine wanaanza hivi..dada nimevutiwa sana na comments zako, uko vizuri!
Mwingine: nipe namba tuchat namba yangu ni +81888...
Mwingine: Mambo mpenzi.. (anakuita mpenzi wakati hata id yake huijui ndo unaiona saa hizo)
Kuna mmoja kaja baada ya hii thread Kaandika "naona unakaribia kufunga pm yako na mimi nataka nikutie."
Hata sijamjibu nimecheka tu.
 
Bora anaeanza na salamu kuna mwingine anaibuka tu "we lazma nikut*mbe wewe" unawaza hili ni popobawa au
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3] popobawa au jini mahaba.
 
Mimi kuna mmoja nimemPM tokea 30/1 hadi leo hajapata nafasi ya kujibu ila sijasumbua mademu, soon nitaanza kuwasumbua hadi waniblock wote ili niachane na PM
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
wewe mbona unapenda kunifata fata lakini/? si utulie kama mzigua yeye hanifati fati amespata dawa yake katulia kimya . hutaki wengine wafaidi
Mi sikufuati fuati huku lakini si unaijua shughuli tukionana nachokunyimaga eeh. Sasa endelea nakwambia na leo siji sheenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…