Tuliowahi kwenda kwa nabii Flora tujuane

Tuliowahi kwenda kwa nabii Flora tujuane

Dah, Zumaridi yuko Mwanza, pisi kali sana yule dada namzimia sana
ni kweli zumaridi ni pisi kali hata yeye anajiona yuko hivyo. Kuna pisi nyingine iko arusha na yenyewe inajiona ni pisi kali, ila imeolewa ina mume
 
Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo
Bado yupo mkuu ?? Nataka nimpeleke mtu hapo ili nitest mitambo kiraini tu..
 
Siku hizi wameibuka manabii na mitume pisi kali, wenyewe wanajitambua pisi kali kama yule wa arusha aliyewaona walimu wa shule ya msingi wanavaa kishamba hata kujipodoa hawajui. Kali zaidi wameanza kujiita majina matakatifu kama malaika na makerubi, wengine wakipanda zaidi kwa kujiita mungu.
 
Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom