Tuliowai kupata Supplemental kwenye final exam za UE/IE tukutane hapa

Mkuu sijakuelewa hapo kwenye tamrini (cousrework ) Yaan Ulipata 34 out of 40 Halafu Ue ikawa na marks 100 Yaan maswali 5@20 sasa ukijumlisha Na zile 40 mbona marks zinazidi. MSAADA
Me pia sijamuelewa huyu mkuu nikahisi sijui math
 

🤣🤣🤣🤣 et mnakutana vilaza,m sijawah kupata sup ila nlikua nawaonea huruma sana
 







mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh uliliwa bila hata ya kachumbari 😎😎😎😎😎
 
Bila shaka umesoma WI
 
Mmmh sasa hiko chuo au Madrasa..??
Nilisoma BA masomo 11 per year, 6/5 per semester mwisho supp 8 una disco!..🙂
Imagine kuna watu September walikuwa wanaingia na pepa 11 na wanachomoa!. Unakuta supp 4 Carry 2 na special 5!.
September Conf ilikuwa tunaunda 'vijiji vya ujamaa' mwenye akili anawekwa kati then wale best coordinators wanawekwa pembeni hapo Mjamaa akilifanya lile pepa anawapa then wao wanalisambaza mpaka wote mnalipata!.
Ukiona huchomoi hapo unaandaa budget ya ticha kabisa, mkamalizane nje!. Uzuri wenye akili wengi walikuwa makapuku so kuomba special kwa ajili ya masuala ya ada ilikuwa kawaida!.
 
Bila shaka umesoma WI
yaah mzee nilipitaga hapo
water resources and irrigation engineer.
MKUU maisha ya kule yalikuwa full complication
nimemiss sana chama la kule
kubalizi pande za msewe na kuchill pale DDCA
katika faculty ambazo kwangu ni the best water resource ipo pouwa sanaa
kina tendwa bado ? na Yule principal msukuma bado yupo? au wewe intake ya mwaka Gani?
 
Kwa Sasa bigogoto na mwanahanja wanaumiza vichwa sup zao za math zimebaki kuwa mitego me Kama hio NTA 5 integration na differental equation zilinisumbua sana.me ni wa eng.tumbo nawakilisha HYM
 
Rector ni yule yule shija kazumba, management ile ile the same.changes ni kidogo.wanataka waanzishe bachelor ya HYM na water LAB
 
Kwa Sasa bigogoto na mwanahanja wanaumiza vichwa sup zao za math zimebaki kuwa mitego me Kama hio NTA 5 integration na differental equation zilinisumbua sana.me ni wa eng.tumbo nawakilisha HYM
hahahahahaa komaeni madogo
hiyo sijuhi HYM ndiyo wale wenye kijituo chao pale maeneo ya canteen?
 
Rector ni yule yule shija kazumba, management ile ile the same.changes ni kidogo.wanataka waanzishe bachelor ya HYM na water LAB
kwa majengo yapi ya kufanya
waongeze hizo degree?
au mmeadvance kwa majengo SIKU hizi?
tumbo ndiyo Yule Mzee mwenye duka?
 
Sisi tulikuwa na Madame mmoja mkuda sana yaani sijui yeye alikuwa anafurahia watu waki supp nimeshamaliza mtihani niko zangu home kuangalia matokeo nakuta somo la huyo Madame pekee yake nina 48 yaani kasoro maksi 2 tu daah,ikanibidi nifanye taratibu za kwenda ku supp na sikuwahi kupata supp yoyote ile kama mleta mada ulivyosema iliniuma sana.......na yule dada alitufelisha tu makusudi nisingeipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…