Tuliowai kupata Supplemental kwenye final exam za UE/IE tukutane hapa

Vilaza wamekutana wanajadili sup na carry [emoji23][emoji23]
Bora tulioishia form 4c
 
Hivi sis wenye vidiploma tunacoment wapi?
 
Duh hatar sana... Modules 12 si mchezo...mm chuon kwetu pia modules nyingi ni 6 na kuna baadh ya semister unakuta una modules 5
 
Yaan ambao hamjawah pata sup hongeren sup zinatesa aisee...mwaka wa mwisho semister ya mwisho UE financial management sup hyo ikabid nirud hapo nshaenda mkoan yaan roho iliniuma stak kukumbuka...nashukuru Mungu nilichomoka
 
Nime kusoma mkuu
 
first year niliteleza tu,,, second year nikapata sup ya principle na technique za wlm third year nikapata brobation somo la yule principle wa Mweka kwa sasa lastly nikavaa joho na saizi nipo kitaani nakomaa
 
Haaaaa wazee Wa COET
 
Mwaka wa kwanza nimepita bila supp nilijiona kichwa😂 semester hii hata CW ya kufanya UE sijafika😔
 
Ase maisha ya chuo bhana. Ndani ya miaka miwili yaani semester 4 nilikula supp 6 (supp zingine hazikutaka kuniacha, nikapiga mpaka carry over) ambazo zilitosha kabisa kuniondosha jijini Dar es Salaam.
 
Ase maisha ya chuo bhana. Ndani ya miaka miwili yaani semester 4 nilikula supp 6 (supp zingine hazikutaka kuniacha, nikapiga mpaka carry over) ambazo zilitosha kabisa kuniondosha jijini Dar es Salaam.
Ulidisko?pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…