a: 0.14*100=14
14+34=48
b: 0.2*100=20
20+34=54
Ila mkuu, mi nadhani system itakuwa tofauti.
Kama nilivyosema mwanzo, C.work ni 40 alafu UE ni 60.
Then UE mswali huwa ni 5 tu 1@20 marks.
Ina maana mtihani wa UE uta onyesha 100 marks but zinazotakiwa ni 60 marks only, then una plus na c.work yako. So, kama umepata zote 100 marks kwenye UE, na only 60 marks zinahitajika, ndio maana nazidisha kwa 0.6 *100 ili niipate hiyo 60 inayo hitajika.
Na hata kama umepata 70 out 100 bado tita zidisha kwa 0.6 ili tupate marks halisi ambazo zita jumlishwa na C.work yako.
KAMA BADO SIELEWEKI TUVUMILIANE, SI UNAJUA WAZEE WA KUMEZA, CHENGA KIDOGO CHALI.
KILA LA KHERI MKUU.