Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
HallelujahNijenge sehemu maalum ya kusali ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HallelujahNijenge sehemu maalum ya kusali ndani
Ndoto niliyokuwa nayo kwa mda mrefu ni kuweka bembea chumbani kwangu.
Ndoto nimeitimizi.,bembea ina raha yake
Nijenge sehemu maalum ya kusali ndani
Hallelujah
Mda wa kucheck movie
Alishajibu hapoNaomba muulize mleta mada matumizi ya hiyo bembea chumbani.
AmeinnnHallelujah
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]InshaAllah
Mkuu umepotea sana jamaniMkuu hongera
Hahahaaabembea chumbani? Kwahyo mkuu mda wa kulala wewe unabembea? Kweli Kiduku Lilo kawaharibu watu hapa jukwaani
Kama mimi. Ila mwaka huu nakamilishaNijenge sehemu maalum ya kusali ndani
[emoji28][emoji28]bembea chumbani? Kwahyo mkuu mda wa kulala wewe unabembea? Kweli Kiduku Lilo kawaharibu watu hapa jukwaani
Nahitaji kuwa nayo nyumbani lkn chumbani hii inatoshaView attachment 1188529
Hongera sana mkuuKama mimi. Ila mwaka huu nakamilisha