Tulioweka hela zetu Credit Swiss matumbo joto

Tulioweka hela zetu Credit Swiss matumbo joto

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Credit Suisse ya Usiwiz imeiomba Swiss Central Bank iipige jeki baada ya hisa zake kushuka kwa kasi ' nose dive'.

Hii hali imetokana baada ya SVB silicon Valley Bank ya Marekani hisa zake zilipoanza kushuka.

Wawekezaji wakubwa na wadau wa Credit Suisse wamekataa kuendele kutoa msaada wakifedha kwa wanaokopesha.

Hii imepelekea hisa kushuka kwa kasi ya hatariiii kwenye masoko ya hisa Ulaya na Marekani na Kuifanya Credit Suisse kuipigia magoti Swiss Central Bank kuipiga jeki.

Tuliowekeza hela zetu Credit Suisse matumbo joto. Ikitokea Deutsch Bank nayo ikapata huu msala wadau tumekishwa.

Hope napo huko matax haven ma offshore mambo shwari tusianguke na presha.
 
Tukisema shikamoo "Putin" watu hawatuelewi - wanatoa visingizio vya ajabu eti anguko la baadhi ya Benki inatokana na poor management - poor management? My foot.

Hii domino effects inayo nyemelea karibu mabenki yote ya magharibi and especifically USA ni jambo la kawaida kweli?? Please think again.
.
Screenshot_20230314-142310_100653.jpg
 
Urusi sio Marekani.... Urusi ni dude kuuubwa ambalo ukitaka kulitikisa linatikisika pamoja na dunia
Ni kweli mkuu actually siku moja Putin aliwahi kuwaonya wenzake wa magharibi kwamba hamuwezi kujifanya as if Urusi haipo Duniani ie mkaiipuuzia au kutaka kuikomoa - matokeo yake ndio tunaanza kuyashuhudia, wengi watabishi tu kwamba mdololo wa uchumi unao endelea hivi sasa Duniani have nothing to do with crazy punitive sanction slapped against Russian being driven by western rabid hatred of Russia and Putin in particular - sasa kibao kinaanza kuwagehuka wao wenyewe ndio maana majority wa raia wa Ulaya wanashinikiza viongozi wao waiondolee sanction Urusi ili waweze waendelee kufanya biashara na Urusi kama zamani - sasa hii inaleta picha gani, Putin is/was right kama kawaida yake.

Amerika iliziingiza choo cha kike mataifa ya Ulaya kutoka na chuki binafsi za Biden dhidi ya Putin, sasa Ulaya nzima hali ya kiuchumi na ajila ni mbaya sana, bei ya nishati ya gesi wanayo uziwa kutoka Merikani ni ya mwendo wa kuruka ie ni mara nne ya bei ya soko - hivi sasa Ulaya ni kama vile ni koloni la Merikani au jimbo lake la 51 - vurugu tupu, baadhi ya viongozi wa Ulaya akili zao matope kabisa hawana ubavu wa kuiambia USA kwamba enough is enough na wao wanapashwa kushirikiana na kufanya mambo yao bila ya kuishirikisha USA au kuomba kibali kutoka Ikulu ya Merikani.
 
Ni kweli mkuu actually siku moja Putin aliwahi kuwaonya wenzake wa magharibi kwamba hamuwezi kujifanya as if Urusi haipo Duniani ie mkaiipuuzia au kutaka kuikomoa - matokeo yake ndio tunaanza kuyashuhudia, wengi watabishi tu kwamba mdololo wa uchumi unao endelea hivi sasa Duniani have nothing to do with crazy punitive sanction slapped against Russian being driven by western rabid hatred of Russia and Putin in particular - sasa kibao kinaanza kuwagehuka wao wenyewe ndio maana majority wa raia wa Ulaya wanashinikiza viongozi wao waiondolee sanction Urusi ili waweze waendelee kufanya biashara na Urusi kama zamani - sasa hii inaleta picha gani, Putin is/was right kama kawaida yake.

Amerika iliziingiza choo cha kike mataifa ya Ulaya kutoka na chuki binafsi za Biden dhidi ya Putin, sasa Ulaya nzima hali ya kiuchumi na ajila ni mbaya sana, bei ya nishati ya gesi wanayo uziwa kutoka Merikani ni ya mwendo wa kuruka ie ni mara nne ya bei ya soko - hivi sasa Ulaya ni kama vile ni koloni la Merikani au jimbo lake la 51 - vurugu tupu, baadhi ya viongozi wa Ulaya akili zao matope kabisa hawana ubavu wa kuiambia USA kwamba enough is enough na wao wanapashwa kushirikiana na kufanya mambo yao bila ya kuishirikisha USA au kuomba kibali kutoka Ikulu ya Merikani.
Wamarekani wa ulaya tunasema"Mwana kulitafuta Mwana kulipata"😂
 
Nimmekuw nafuatilia sana hili.mim nina akiba yang kama laki 5.nmb naogopa sana.hao credit suise mdhamin wao mkubwa bank of saudia amesema hatoi hela tena kuwapa.je huko ulaya mwisho wa kutoa hela kwenye atm ni sh ngap ili kuzuia hio bank run ambayo panic unakuta msururu wa watu wanataka hela zao.na ukiangalia hauna hio hela kwa sabab hukutegemea watu wa draw kias kikubwa kwa mud mchache.naambiw wateja wali draw bilion 10dollars per one day. Je benk zetu wamejipanga je kujilinda na hio corona ya benk?
 
Tukisema shikamoo "Putin" watu hawatuelewi - wanatoa visingizio vya ajabu eti anguko la baadhi ya Benki inatokana na poor management - poor management? My foot.

Hii domino effects inayo nyemelea karibu mabenki yote ya magharibi and specifically mabenki ya USA tunaweza tukalichukulia kama ni jambo la kawaida kweli?? Please think again.
Inasemekana ulaya kuna uhaba wa wahasibu ndio mana vitabu vimeshindwa kubalance.
 
Back
Top Bottom