kama kweli una miaka zaidi ya 25 na hujaoa halafu husomi amini hujui kutongoza, we mwanaume gani huwezi hata kupagawisha mtoto ahamie kwako??
Acheni kujitetea maisha mara ooh tunawala Uanaume ni kumiliki mabroo tuache ujinga bhana, mi nimeshaamua next year mke ndani haijalishi anachepuka au laah, [HASHTAG]#NAOA[/HASHTAG].