Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
- Thread starter
- #21
kweli kabisa na wengi watatupita maana tuna makocha wengi sana
kaka hata ulaya hutokea hizi ila sisi watanzania hata game za majuu tunazoziangalia tunaangalia magoli na makosa ya refa,..
mfano Robo fainali ya Europe kati ya Liverpool vs Dortmund (Anfield) magoli mawili aliyofungwa Liverpool la 2 & 3 unaweza mlaumu beki ila sio kosa lake,..mpira umepigwa kiufundi na makadirio kiasi kwamba ukizidi uwezo wako wa kuufikia kinatokea (Hamstring),...
sasa weje kuujua mpira hivi vitu vipo je,sisi tunaoufahamu kwa kuanza kuucheza ukubwani itashindika haya kutokea,...
SAFARI YETU KISOKA NI NDEFU ANGALU KUFIKA KAMA SUDAN