Tulipigwa kwenye Madini, tukapigwa kwenye Gesi sasa tutapigwa kwenye Bandari 😅

Tulipigwa kwenye Madini, tukapigwa kwenye Gesi sasa tutapigwa kwenye Bandari 😅

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Saa nyingine mimi naon ni Sawa tu.

Kwani tangu tumekuwa na hayo madini au gesi au misitu na wanyama je kama Tanzania au wewe mwenzangu mvuja jasho tumefaidika nini chini ya CCM?
Mimi naona kama hatuwezi kunufaika navyo basi tuwape watu wanaoweza wao wazifaidi maana mali zenyewe hatujaweka sisi na kwamba watu wote duniani tumeumbwa n Mungu mmmoja.

Yangu ni hayo tu
 
Mwinyi ameuza LOLIONDO,mkapa mabenki,KIKWETE gesi madini na ardhi yote ,Samia amekuja kumalizia kuuzwa Ikulu yaani amekaa miaka miwili Tu hivi akikaa miaka 10
Wacha wauze kwa maslahi ya viongozi
 
Kwenye makinikia nilikuwa nangojea noah yangu, ikageuka kuwa balimi na yenyewe ikayeyuka nasikia tulishitakiwa miga🐒
 
Mimi naomba tu Mungu awemuamuzi kwenye haya yote wanayoyafanya ,nakama ni kwa maslayi yao binafsi sio kwa nchi.Mungu hawe upande wetu.Hawabariki na kuwaongeza Hekima kwenye maamuzi yao.
 
Saa nyingine mimi naon ni Sawa tu.

Kwani tangu tumekuwa na hayo madini au gesi au misitu na wanyama je kama Tanzania au wewe mwenzangu mvuja jasho tumefaidika nini chini ya CCM?
Mimi naona kama hatuwezi kunufaika navyo basi tuwape watu wanaoweza wao wazifaidi maana mali zenyewe hatujaweka sisi na kwamba watu wote duniani tumeumbwa n Mungu mmmoja.

Yangu ni hayo tu
Tusimame
 
Umelewa "mbandandu"?!!!!

Hakuna kupigwa....kuna kutengeneza maslahi mapana ya nchi.....hivi hujui kuwa kutokusomana mifumo ya TEHAMA kati ya TPA na TRA ndiko kupigwa kwenyewe?!!!!

#SiempreJMT[emoji120]
 
Saa nyingine mimi naon ni Sawa tu.

Kwani tangu tumekuwa na hayo madini au gesi au misitu na wanyama je kama Tanzania au wewe mwenzangu mvuja jasho tumefaidika nini chini ya CCM?
Mimi naona kama hatuwezi kunufaika navyo basi tuwape watu wanaoweza wao wazifaidi maana mali zenyewe hatujaweka sisi na kwamba watu wote duniani tumeumbwa n Mungu mmmoja.

Yangu ni hayo tu
Watz tutapigwa sana
 
Umelewa "mbandandu"?!!!!

Hakuna kupigwa....kuna kutengeneza maslahi mapana ya nchi.....hivi hujui kuwa kutokusomana mifumo ya TEHAMA kati ya TPA na TRA ndiko kupigwa kwenyewe?!!!!

#SiempreJMT[emoji120]
Huijui ccm wewe
 
Bandari hii wanaifaidi wachache sana, yaani wale tu wanaofanya kazi huko bandarini na ndugu zao. Bandari ibinafsishwe kwa mwarabu.
 
Back
Top Bottom