Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kicheko🤣Kinachofanyika na hao kina dada ni kukuteka tu kingono.
Usipokua makini utajikuta umeshaharibu.
Wanalegeza vifungo wanakupapasa hadi macho yanakua mekundu.
Haina maajabKawaida sana hiyo
Maisha yangepoteza umaana kabisa 😄 maana mbousousou zingelika mpka zichakae 😄Just imagine binadamu wa sasa tungekuwa tunaishi miaka 500….just imagine tu
Unajua bro dar washamba kibao yaan unakuta mtu ananyolewa vzur anamaliza mdada anamkaribisha twende sehem ya kukuosha kchwa pia Kuna superblck ,scrub,facial maskMawazo yangu, unaweza fanya scrab, mimi nakaa mjini kabisa Dar, na saloon zangu ni Sinza, nasema, sijawahi lazimishwa au ku experience mazingira yeyote yanayonishairia shinikizo la ngono, labda nyie ma handsome sana siwezi kujua, au mnajiendekeza na kupenda hayo mambo.
Ukiwa serious kunyoa, kusafishwa na kwenda, hayo hayawezi tokea, labda uwe unauliza uliza maswalli kwa sababu zako. Ukiheshimu watu na wao watakushehimua pia.
Huu ni ushamba pro maxWanajua kutomasa wapumbavu wale mkuu...
Kikubwa achana na mascrub...
Haya madanguro yapo mengi sana Dar, hasa maeneo ya Kinondoni.View attachment 2695861
I'm speechless
Anakuuliza hivyo huku vidole vikiskrabu masikioni tartiib.Kuna salon nilienda kunyoa wale wadada wanaoosha wateja akaniuliza kuna huduma nyingine yeyote ile unataka nikupatie??