Unajifanya unajua kumbe hujui. Hiyo namba 10 uliyoitaja ni kiungo kwa kimombo inaitwa attacking midfielder. Kuna viungo wa aina nyingi sema amebadilishiwa aina ya kiungo na kwa sasa mnategemea awabebe kutengeneza nafasi za kufunga au afunge.Wewe kweli mpira haufatilii. Feisal ategemewi tena kwenye kiungo, feisal shughuli yake siku hizi ni mbele huko kwenye ushambuliaji. Anachezewa namba 10 huku viungo kuna Bangala, Aucho , Mukoko, na hata Farid Musa alipangwa kwenye nafasi ya kiungo.
Kukoshwa ndio kufanyaje hata mimi naweza kusema nimekoshwa na Kapombe lakini takwimu ndio zinaongea ni mchezaji yupi anaetegemewa.Feisali sio tegemezi kwenye timu japo mchango wake ni muhimu na tuna uheshimu[emoji122][emoji122][emoji122]
Tangu ligi ianze mashabiki wa Yanga tumekoshwa na wachezaji wengi kwenye kikosi kama Bangala[emoji772][emoji91],Aucho[emoji772][emoji91],Moloko[emoji91],kipa Diara[emoji772],Djuma[emoji772],Feisal mwenyewe [emoji772][emoji91]
Lkn Makolo tangu kila mchezaji mnamtukana[emoji2959] kwa mara ya kwanza jana ndo mmepata mchezaji wa kuturingishia,eti AJIBU[emoji16]
Kama umetuchagulia Feisal sawa,dogo si ana goli 3 na Makolo FC wana goli 3 hiyo imekaa powa kama ukituchagulia Feisal ndo mchezaji wetu bora kwa sasa.Kukoshwa ndio kufanyaje hata mimi naweza kusema nimekoshwa na Kapombe lakini takwimu ndio zinaongea ni mchezaji yupi anaetegemewa.
Utopolo mbovu ya msimu uliopita mchezaji wenu bora ni Feisal.
Hata utopolo hii mchezaji mnaemtegemea atengeneze nafasi au kufunga ni Feisal.
Sio mchezaji wenu bora tu kwa sasa bali huyo ndio mchezaji wenu bora kwa utopolo zote ambazo ni mbovu tangu ajiunge. Na kwa sasa bado mnategemea dogo aibebe utopolo na hiyo iko wazi.Kama umetuchagulia Feisal sawa,dogo si ana goli 3 na Makolo FC wana goli 3 hiyo imekaa powa kama ukituchagulia Feisal ndo mchezaji wetu bora kwa sasa.
Watachanganyikiwa kweli mkuu makolo fc[emoji16][emoji16][emoji16]eti ngoja ligi ichanganye...sasa ligi ikichanganya si ndo mtachanginyikiwa!!!
Msimu uliopita mchezaji wetu bora alikuwa Mukoko we KOLO unatakiwa ujue,ila kama wewe umetuchagulia Feisal dua[emoji120]Sio mchezaji wenu bora tu kwa sasa bali huyo ndio mchezaji wenu bora kwa utopolo zote ambazo ni mbovu tangu ajiunge. Na kwa sasa bado mnategemea dogo aibebe utopolo na hiyo iko wazi.
Pia sio dhambi utopolo kutuchagulia Ajibu tunashukuru enyi utopolo.Msimu uliopita mchezaji wetu bora alikuwa Mukoko we KOLO unatakiwa ujue,ila kama wewe umetuchagulia Feisal dua[emoji120]
Tuwekee wachezaji wa Yanga wa kipindi hiko aliocheza nao Ajib ambao wanaweza kuchukua nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha SimbaKitu umesahau ni kuwa kipindi kile UTO haikuwa na timu mbovu bali pesa ndo ilikuwa shida,liweke sawa hili ili twende sawa.Ajibu anajua mpira sema shida yake moja tu,anacheza anavyotaka yeye sio mnataka nini.Kwahiyo siku akiamka anataka kucheza mpira atacheza mpira wenyewe mtapenda na siku akiamka anataka kufanya yake atafanya vile.Ila ukweli ni kwamba kipindi kile UTO pesa tu ndo ilikuwa shida na mshukuruni Zahera nyie wahuni,alikuwa anawalipia hadi gharama za usafiri!! hovyo kabisa.
Mwenyewe nipo MSIMBAZI anayetaka kuniua aje tu.
Tatizo utopolo hiwa wanajizima sana dataKUMBE MLIKUWAGA WABOVU? SIYO KWAMBA TFF YA KARIA WAMEWAMINYA HII MIAKA 4? SUBIRI ROUND YA PILI VILIO VIANZE KWA KARIA
Mliwahi kusema ana gundu akija kwenye timu haichukui makombe mkaaminishana kwa nguvu kuwa kwa kuwa karudi simba basi makombe yanahamia Yanga njoo mtuambie bingwa wa VPL last season ,bingwa wa NGAO YA JAMII na bingwa wa Azam Fc Federation cup mlichukua ninyi Yanga?Mada haijasema Yanga ni bora, bali inakumbusha tu kuwa timu ikiwa inamuimba Ajib kama ni mkombozi wao, ujue hiyo timu imefilisika. Hili lipo wazi mbona, Yanga ilipomuona Ajib kama mkombozi, Yanga ilikuwa mbovu kiasi kwamba Ajib ndio tegemeo lao.
Simba ilipokuwa bora, Ajib alikuwa hana nafasi kabisa kwenye timu ya Simba kwasababu kuna wachezaji walikuwa wanakiwasha zaidi yake ila leo Ajib kwenye Simba hii ndio anaonekana mtu haswa. Je kiwango chake kimekuwa zaidi ya misimu ya nyuma alipokuwa Simba? Au ndio yeye kwenye orodha ya vilaza wa Simba, ndiye mchezaji mwenye unafuu?
Unaniuliza mimi kwani uliwahi kunisikia nikimshinikiza mchezaji kuwa na gundu? Kinachojadiluwa hapa na moja wapo ya mada ambayo mimi nimechangia ni hii ya Ajib kuimbwa kama mkombozi wa Simba kwasasaMliwahi kusema ana gundu akija kwenye timu haichukui makombe mkaaminishana kwa nguvu kuwa kwa kuwa karudi simba basi makombe yanahamia Yanga njoo mtuambie bingwa wa VPL last season ,bingwa wa NGAO YA JAMII na bingwa wa Azam Fc Federation cup mlichukua ninyi Yanga?
Kaikomboaje? Ulitaka asicheze na akicheza vizuri apondwe sio? Maana kwangu mimi alicheza vizuri sana sasa hapo tu ndo ashakuwa mkombozi wa timu kivipi?Unaniuliza mimi kwani uliwahi kunisikia nikimshinikiza mchezaji kuwa na gundu? Kinachojadiluwa hapa na moja wapo ya mada ambayo mimi nimechangia ni hii ya Ajib kuimbwa kama mkombozi wa Simba kwasasa
hahahahahahahahahahahahahahahahaahahhaahaFeisali sio tegemezi kwenye timu japo mchango wake ni muhimu na tuna uheshimu[emoji122][emoji122][emoji122]
Tangu ligi ianze mashabiki wa Yanga tumekoshwa na wachezaji wengi kwenye kikosi kama Bangala[emoji772][emoji91],Aucho[emoji772][emoji91],Moloko[emoji91],kipa Diara[emoji772],Djuma[emoji772],Feisal mwenyewe [emoji772][emoji91]
Lkn Makolo tangu kila mchezaji mnamtukana[emoji2959] kwa mara ya kwanza jana ndo mmepata mchezaji wa kuturingishia,eti AJIBU[emoji16]