Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Mungu wa mbinguni ni wa wote tumisifu na kumtukuza tupendane sisi sote wapitaji ndivyo kauli za utu na ucha Mungu.
Kwa wale wasioamini waendelee na Imani zao ukiombea baya kwa pretence yoyote basi nawe au nanyi njia ni hio hio.
Leo hii huko nchi Sudan walioua kwa Mapinduzi wanaendelea kupigana.
Tanzania watu wazuri hawafi wanakufa wabaya tu.
Mungu habagui sasa yeye ndiye anaupiga mwingi chawa wameenda likizo.
Wadiz
Kwa wale wasioamini waendelee na Imani zao ukiombea baya kwa pretence yoyote basi nawe au nanyi njia ni hio hio.
Leo hii huko nchi Sudan walioua kwa Mapinduzi wanaendelea kupigana.
Tanzania watu wazuri hawafi wanakufa wabaya tu.
Mungu habagui sasa yeye ndiye anaupiga mwingi chawa wameenda likizo.
Wadiz