Tulisema Karia must go ukahisi tunazingua, tutaelewana polepole

Tulisema Karia must go ukahisi tunazingua, tutaelewana polepole

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
Any way, baada ya mechi ya simba na azam fc. na mechi fountain gate kupanga matokeo. Bodi ya ligi imetoa Mkwala, wadau wa club tusiwaseme WAHAMUZI wala viongozi kwa media au social media.

In short, kocha wa Azam fc atapigwa fine, kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.

Karia and board good side: hii ni muhimu kulinda brand ya league, good law

Bad side: InaLinda kupanga matokeo,

Inshort, watapanga matokeo amna cha kuwafanya, marefa watakula rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya. No media is allowed to criticise tff or board ya ligi.

-lastly, viongozi wanajirinda kusemwa live on media
  • wakijua wanapanga matokeo na kushusha brand ya league.Kwa makusudi.
  • with no media reporting. nothing will change.
Why are referees not banned?

Leo hii hata refa hata apange vipi matokeo, afukuzwi wala kushusha dalaja? No consequences. instead anapewa kuwa refa bora.

VIONGOZI SHOULD CHANGE, ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI. TFF NI WEZI TU WAMEJAA PALE NDANI.

I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA, SEMA MPO KULA PESA ZA WAMILIKI WA TIMU.

SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL

KARIA MUST GO OR CHANGE.

Screenshot_20240929_052420_Chrome.jpg
 
Ni kweli, Kolo wanabebwa kabisa. Simba hawana mpira wanaojua kucheza, wanasubiri kuunganika

Karia anawabeba mchana kweupe....
 
any way, baada ya mechi ya simba na azam fc. na mechi fountain gate kupanga matokeo.
bodi ya ligi imetoa Mkwala, wadau wa club tusiwaseme WAHAMUZI wala viongozi kwa media au social media.

inshort
kocha wa Azam fc atapigwa fine kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.

karia and board good side :
hii ni muhimu kulinda brand ya league , good law

bad side :
InaLinda kupanga matokeo, inshort watapanga matokeo amna cha kuwa fanya, marefa watakuwa rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya.

lastly, viongozi wana jirinda kusema live on media, wakijua wanapanga matokeo na kushusha brand ya league. makusudi. with no media reporting.

why are referees not banned??

hata refa hata apange vipi matokeo afukuzwi wala kushusha dalaja?? no consequences.

VIONGOZI SHOULD CHANGE,
ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI.
I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA,
THIS WILL IMPROVE THE LEAGUE AND REFEREE LIFE'S TOO.

SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL



View attachment 3109895
Mr. Utopo jifunze kwanza kuandika, kwenye H weka H na jifunze kutofautisha L na R. Pia kuna maneno ukiacha nafasi katikati yanapoteza maana so rudi darasani kwanza.
Mwaka huu mtalia sana.
 
any way, baada ya mechi ya simba na azam fc. na mechi fountain gate kupanga matokeo.
bodi ya ligi imetoa Mkwala, wadau wa club tusiwaseme WAHAMUZI wala viongozi kwa media au social media.

inshort
kocha wa Azam fc atapigwa fine kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.

karia and board good side :
hii ni muhimu kulinda brand ya league , good law

bad side :
InaLinda kupanga matokeo, inshort watapanga matokeo amna cha kuwa fanya, marefa watakuwa rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya.

lastly, viongozi wana jirinda kusema live on media, wakijua wanapanga matokeo na kushusha brand ya league. makusudi. with no media reporting.

why are referees not banned??

hata refa hata apange vipi matokeo afukuzwi wala kushusha dalaja?? no consequences.

VIONGOZI SHOULD CHANGE,
ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI.
I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA,
THIS WILL IMPROVE THE LEAGUE AND REFEREE LIFE'S TOO.

SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL



View attachment 3109895
Wewe wahamuzi na kujirinda ndiyo madude gani! Shule ulienda kufanya nini?
 
Mr. Utopo jifunze kwanza kuandika, kwenye H weka H na jifunze kutofautisha L na R. Pia kuna maneno ukiacha nafasi katikati yanapoteza maana so rudi darasani kwanza.
Mwaka huu mtalia sana.
🚮😒

Akili kisoda . Personal attack tu. Mambo ya msingi wala 🚮 . A fool
 
any way, baada ya mechi ya simba na azam fc. na mechi fountain gate kupanga matokeo.
bodi ya ligi imetoa Mkwala, wadau wa club tusiwaseme WAHAMUZI wala viongozi kwa media au social media.

inshort
kocha wa Azam fc atapigwa fine kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.

karia and board good side :
hii ni muhimu kulinda brand ya league , good law

bad side :
InaLinda kupanga matokeo, inshort watapanga matokeo amna cha kuwa fanya, marefa watakuwa rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya.

lastly, viongozi wana jirinda kusema live on media, wakijua wanapanga matokeo na kushusha brand ya league. makusudi. with no media reporting.

why are referees not banned??

hata refa hata apange vipi matokeo afukuzwi wala kushusha dalaja?? no consequences.

VIONGOZI SHOULD CHANGE,
ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI.
I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA,
THIS WILL IMPROVE THE LEAGUE AND REFEREE LIFE'S TOO.

SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL



View attachment 3109895
Wahamuzi x waamuzi✓ awako x hawako ✓ ila Asante kwa taarifa.
 
Yani Yanga kachukua ubingwa karibu mara 3 wala Karia alikuwa hazungumzwi kwa Ubaya this time Simba anaonekana anaanza kujikongoja tena wala ubigwa hana Karia ameshaanza kuonekana mbaya.
 
Ukiona Karia anaanza kulaumiwa ujue Simba Bingwa...Na bado msimu mtalia Sana nyuma mwiko
 
Aya yote kayataka Ken gold madogo wamefanya utopolo kitu kibaya mpaka sasa wanatafuta mchawi nani na bado wakanyimwa gori Lao maana uto mpk sasa angekuwa na droo moja....na leo KMC kasema ni mwendo wa Bajaji haina kulemba ***** mpaka mteme bungo.....

Karia anawajua nyinyi ni wapuuzi tu mpira wenu wa kununua waamuzi umepitwa na wakati chezeni mpiraaa

.....KMC for lifetime leo atoki mtu....
 
Uzuri Karia na wapenzi wote WA Moira wanawafahamu kama mashabiki wajinga wajinga pale Timu yenu inapokuwa haiko Sawa badala ya kuwalaumu viongozi wenu Nyie mnamlaumu Karia..
 
Karia ndio ameufufua huu mpira wa Tanzania chini ya utawala wake vilabu vingi vimepata mafanikio sio tu vilabu mpaka team ya taifa
 
HUO UANDISHI NI HATARI SANA.

JF THE HOME OF GREAT THINKES!!!!.

Shame.
 
Back
Top Bottom