Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Any way, baada ya mechi ya simba na azam fc. na mechi fountain gate kupanga matokeo. Bodi ya ligi imetoa Mkwala, wadau wa club tusiwaseme WAHAMUZI wala viongozi kwa media au social media.
In short, kocha wa Azam fc atapigwa fine, kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.
Karia and board good side: hii ni muhimu kulinda brand ya league, good law
Bad side: InaLinda kupanga matokeo,
Inshort, watapanga matokeo amna cha kuwafanya, marefa watakula rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya. No media is allowed to criticise tff or board ya ligi.
-lastly, viongozi wanajirinda kusemwa live on media
Leo hii hata refa hata apange vipi matokeo, afukuzwi wala kushusha dalaja? No consequences. instead anapewa kuwa refa bora.
VIONGOZI SHOULD CHANGE, ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI. TFF NI WEZI TU WAMEJAA PALE NDANI.
I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA, SEMA MPO KULA PESA ZA WAMILIKI WA TIMU.
SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL
KARIA MUST GO OR CHANGE.
In short, kocha wa Azam fc atapigwa fine, kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.
Karia and board good side: hii ni muhimu kulinda brand ya league, good law
Bad side: InaLinda kupanga matokeo,
Inshort, watapanga matokeo amna cha kuwafanya, marefa watakula rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya. No media is allowed to criticise tff or board ya ligi.
-lastly, viongozi wanajirinda kusemwa live on media
- wakijua wanapanga matokeo na kushusha brand ya league.Kwa makusudi.
- with no media reporting. nothing will change.
Leo hii hata refa hata apange vipi matokeo, afukuzwi wala kushusha dalaja? No consequences. instead anapewa kuwa refa bora.
VIONGOZI SHOULD CHANGE, ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI. TFF NI WEZI TU WAMEJAA PALE NDANI.
I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA, SEMA MPO KULA PESA ZA WAMILIKI WA TIMU.
SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL
KARIA MUST GO OR CHANGE.