Ni rais wa hovyo zaidi bt anajifichia kwenye mafanikio ya simba na yanga kimataifa.he should go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rais wa hovyo zaidi bt anajifichia kwenye mafanikio ya simba na yanga kimataifa.he should go
no one knows, ila kawa panga watu wake. fro. mikoani to district level. huyu ata shinda tena.Uchaguzi wa TFF ni lini?
that's what you took from the thread 😔😔. no content just attackMtoa Uzi ni uto pia ni Mrundi eti WAHAMUZI badala ya WAAMUZI daah Nchi Ngumu sana hii
Huyu mzee akiondoka pale TFF Kuna timu zitastruggle Sana kupata matokeo halali. Msimu huu wamedhamiria Azam fc wasishike nafasi ya pili kwa ajili ya kuwezesha timu Fulani zishiriki CAF CL.Any way, baada ya mechi ya simba na azam fc. na mechi fountain gate kupanga matokeo. Bodi ya ligi imetoa Mkwala, wadau wa club tusiwaseme WAHAMUZI wala viongozi kwa media au social media.
In short, kocha wa Azam fc atapigwa fine, kisa kasema WAHAMUZI awako sawa , magoli yote ni offside.
Karia and board good side: hii ni muhimu kulinda brand ya league, good law
Bad side: InaLinda kupanga matokeo,
Inshort, watapanga matokeo amna cha kuwafanya, marefa watakula rushwa Na tff watatoa maelekezo, amna cha kuwa fanya. No media is allowed to criticise tff or board ya ligi.
-lastly, viongozi wanajirinda kusemwa live on media
Why are referees not banned?
- wakijua wanapanga matokeo na kushusha brand ya league.Kwa makusudi.
- with no media reporting. nothing will change.
Leo hii hata refa hata apange vipi matokeo, afukuzwi wala kushusha dalaja? No consequences. instead anapewa kuwa refa bora.
VIONGOZI SHOULD CHANGE, ACT BETTER, SIO KUSEMANA ONLINE HIVI. TFF NI WEZI TU WAMEJAA PALE NDANI.
I KNOW MNAWEZA CHUKUA HATUA KALI KWA MAREFA, SEMA MPO KULA PESA ZA WAMILIKI WA TIMU.
SIO HATER CONCERN SPORT PERSONNEL
KARIA MUST GO OR CHANGE.
View attachment 3109895
Ndo anasababisha Azam adro? Kweli hiyo timu wenye akili ni wawili tu.Huyu mzee akiondoka pale TFF Kuna timu zitastruggle Sana kupata matokeo halali. Msimu huu wamedhamiria Azam fc wasishike nafasi ya pili kwa ajili ya kuwezesha timu Fulani zishiriki CAF CL.
Alikuwa anazungumzwa Sana tuu. Msimu uliopita mechi tough zote alizocheza Simba ilikuwa lazima apate goli la penalty ya magumashi Tena dk 86 kuendelea, aidha Mechi tough lazima timu pinzani ipate red card dk za mapema Ili istruggle au Free kicks nyingi nje ya 18. Karia tangu mwanzo wa uongozi wake aliinyesha wazi yupo upande gani alafu anajifanya mwanachama wa coastal Union[emoji23][emoji23][emoji23]Yani Yanga kachukua ubingwa karibu mara 3 wala Karia alikuwa hazungumzwi kwa Ubaya this time Simba anaonekana anaanza kujikongoja tena wala ubigwa hana Karia ameshaanza kuonekana mbaya.
Hawezi thubutu kufanya hivyo. Akijaribu yatamkuta ya Malinzi na ndiyo itakuwa mwisho wake kwenye masuala ya mpira. Kwa jeuri aliyonayo Kuna ma God fadher... Ngoja niishie hapo[emoji1787][emoji1787]Anabadilisha katiba agombee tena awamu ya 3
Ngoja tuoneHawezi thubutu kufanya hivyo. Akijaribu yatamkuta ya Malinzi na ndiyo itakuwa mwisho wake kwenye masuala ya mpira. Kwa jeuri aliyonayo Kuna ma God fadher... Ngoja niishie hapo[emoji1787][emoji1787]