Unauliza Busu Shavuni Mkuu?Kwani kigwa walipita nae?
90% ya Wasomi wa Tanzania ni Washamba ( Mambwiga ) sana. Niamini katika hili tafadhali.Hivi kuna wasomi wa kupigwa kizembe hivi hapa Tanzania?
Siamini!
Sasa nimeanza kuelewa kwa nini CCM wametawala muda wote huo maana kwa (mambwiga) hawa waliozalishwa na CCM itatawala milele.90% ya Wasomi wa Tanzania ni Washamba ( Mambwiga ) sana. Niamini katika hili tafadhali.
Wakisema unasikia Good Morning lakini wanasema ''Good More Earning''
Mimi hata laki moja sitoi, bora nikailie bata tu kuliko kuwekeza kwenye huu ujingaWatu wana pesa za kutapeliwa. Mtu haoni shida kutoa milioni 5 atapeliwe lakini mwambie atoe hiyo hela kwa kitu cha maana. Atakuambia hana.
Rafiki angu aliambiwa Maldives,
Nyie full vichekesho.n
Hiyo nauli ya kwenda Fiji au visiwa vingine vya Pacific si mchezo . Kwenda huko uwe na hela ya kutosha. Mtu unatumia zaidi ya masaa 25 kwenda tu, halafu kijinga tu unaambiwa ununue holiday package za hukoRafiki angu aliambiwa ataenda Maldives, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie full vichekesho.
Katika maisha yangu sijawahi cheza mchezo. Si bora nidundulize nijiwekee akiba mwenyewe kuliko kuweka hela zangu kwa watu ambao sijui hata uaminifu wao. Kuna vikundi vingine vingi vya wanawake ambavyo havina tija, kazi kupoteza muda na helaYes bro sikuona kama kuna cha maana, pesa nayoweka na kupata ni ile ile mbayaa zaidi unajikuta we kwenye mzunguko uko mbali wa 21 hukoo[emoji23][emoji23]
Usiombee mwanamke wako au ndugu yako atekwe na hao mashetani na wewe unajaribu kumuokoa ila anaona unamkosesha mamilion hasiraa zakee acha tuuu π π π hapa ndo zile kesi mtu anabeba mjegejee
π π πINAUMA sana mkuu wale vijanaa hawaamini bado kama wametapeliwaaa hadi leo..Kuna mdogo wang yupo IFM yani nilimuona mjinga kwel kuanza kuniambia kuhusu mambo ya Q NET nilimpa kofi hawez kusahau. Nilimuambia kama umechoka kusoma kaa nyumbani utakula na kulala tu.
Wajinga ndiyo waliwao kuna Pama fund ndugu yangu kila siku alikuwa ananishawishi kujoin nilimpiga block
Hakuna msomi anayetapeliwa namna hiyo.Me too brother ...me too