Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walivheza na mind za watu na maneno ya kisiasa ya NAPE walifuta tozo za kutuma pesa siyo kutoa pesa bro.Wadau juzi juzi hapa tunetangaziwa rais kafuta tozo.
Cha ajabu bado kuna kodi ya serikali kwenye miamala. Ninetoka kutoa Airtel money nimekatwa tozo.
Huyu raisi wako mzanzibar ni mjanja mjanja na dhaifu sana, hajali maisha ya watu, na vile anajua wengi wanaoumia ni wabara basi hata aimuumizi kihivyo.Wadau juzi juzi hapa tunetangaziwa rais kafuta tozo.
Cha ajabu bado kuna kodi ya serikali kwenye miamala. Ninetoka kutoa Airtel money nimekatwa tozo.
Hakuna changamoto hapo, inashindikana vipi kuitoa wakati waliiweka?? Huo ni uhuni mtupu kutuumiza.Walivheza na mind za watu na maneno ya kisiasa ya NAPE walifuta tozo za kutuma pesa siyo kutoa pesa bro.
Kuna kachangamoto apo very stup.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Kwa ushaur wangu ili heshima iwepo TTCL ndo ingebaki kuwa kampuni ya mawasiliano tu bas kwenye kutuma pesa na kutoa nayo inge baki ttcl only.Hakuna changamoto hapo, inashindikana vipi kuitoa wakati waliiweka?? Huo ni uhuni mtupu kutuumiza.
Miss dhaifu ndio anatuvurugia Tanganyika