Tulitumia mate kujua mifugo ilipo

Tulitumia mate kujua mifugo ilipo

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Sasa sijui ilikuwa ni Imani tu au lah!

Ukipoteza mifugo hasa porini unaweka mate kwenye kiganga Cha mkono Kisha unayachapa kwa kidole yanaruka yatakaporuka mengi ndo huko huko inaelekea.

Ili kuhakikisha unageuka pande mbili mashariki na kaskazini au kusini unarudia kila upande unachapa Mara moja moja.

Basi hapo unakuwa ushajua pakuelekea.
 
Hiyo ilikua imani yako tu mkuu.

Ni kama wale wanaooa singo maza na kuamini hakuna shida itakuja kujitokeza mbeleni.
 
Imani hii ni ya kiafrika na ni ya kuiga,kuliko hizi za kiarabu na kizungu kila riku za ibaada unahubiliwa sadaka na matoleo
 
Sasa sijui ilikuwa ni Imani tu au lah!

Ukipoteza mifugo hasa porini unaweka mate kwenye kiganga Cha mkono Kisha unayachapa kwa kidole yanaruka yatakaporuka mengi ndo huko huko inaelekea.

Ili kuhakikisha unageuka pande mbili mashariki na kaskazini au kusini unarudia kila upande unachapa Mara moja moja.

Basi hapo unakuwa ushajua pakuelekea.
tuliochunga tulifanya sana kitendo hicho na tulipatia uelekeo mifugo ilipo. Kwa sasa njiuliza ilikuwaje tunapoteza mifugo na kuhangaika kuitafuta iliko, ilikuwa inatupoteaje? Mara unaikuta iko nyuma au upande usiodhani kuwepo. Kuna wakati inapotea siku nzima na kupatikana kesho yake ikiwa salama na bila kupungua wala kuliwa na wanyama wakali huko machungani ilikopotelea
 
Suala la kupotez mifugo umenikumbusha mbali sana, kuna wakati niliooteza mbuzi wakaenda mtaawa mbali sana, kisha walikuka rudi wenyewe, zile stress hatari sana.
 
Du,mwamba umenikumbusha mbali saaaana visanga vya machungani.
visanga vingine
1.kuchunga mazao ya wakulima.

2.kushare maji na mifungo na huugui chochote

3.kuwa na ngo'mbe special ya kukamua machungani .

4.kuwa na mbuzi au kondoo special kwa kudinya(huna mpango na demu)

5.kuwa kambi/porini zaidi ya mwaka bila kurudi nyumbani .

6.kwenda kuchunga kwenye hifadhi,bila TANAPA kujua au kuwa ona(miziz ipo),mungu jalia ntakuja na story hii.
 
Kuna siku nimepotea pale kariokoo, kidogo niteme mate kiganjani ili kujua duka ninaloenda liko wapi! Nakuja kukumbuka niko mjini nikawa mpole.

Hii ilitusaidia sana kule kijijini wakati wa utoto hata ukubwani mwetu.
 
Kuna siku nimepotea pale kariokoo, kidogo niteme mate kiganjani ili kujua duka ninaloenda liko wapi! Nakuja kukumbuka niko mjini nikawa mpole.

Hii ilitusaidia sana kule kijijini wakati wa utoto hata ukubwani mwetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom