Tuliwaambia Kwa Yanga hii mtasubiri sana

Tuliwaambia Kwa Yanga hii mtasubiri sana

Msimu ujao wakati Yanga ina angalia wachezaji wawili watatu wa kujazia kwenye kikosi chao, mtaa wa pili watakuwa busy kukamatana uchawi, baada ya kuvurunda msimu huu ligi ya ndani.

Hivyo kufanya vizuri kimataifa msimu ujao, ni jambo lisilo kwepeka mama kubwa. Uwe na imani na vijana wako, lakini pia benchi lote la ufundi, chini ya uongozi mahili wa Profesa Nabi na Msaidizi wake Kaze.
Alinacha.
 
Yaan hii timu Haina jipya.. Tazama huyo Mzee kabababake amekomaa ndevu kama katani 🤣🤣
pole tuko kimataifa zaidi we kazana kula miwa mpaka uvimbiwe

E3DE8E36-DC45-4ED4-A446-50FF1F7CFA6F.jpeg
 
Yanga Tamu dah huu wimbo huu sijui hawakufikiri maana sijaona mwanamme akisifiwa mtamu ila mademu ndio watamu
 
Back
Top Bottom