babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Yajayo yanafurahishaHaya maneno yenu yataisha jumapili saa 3 usiku
Simba bana kwa kujifariji tu hamjambo[emoji1] badala mtengeneze timu yenye class nyie mnategemea form[emoji848][emoji848] kumbuka form ni temporaryWakati ule Simba Sc ilikuwa kwenye form na hapakuwepo hayo mafigisu ya baada ya uchaguzi, kwa ile form ya wakati ule hata Horoya asingetoka salama pale kwake.
Simba ijifunze madhara ya Uchaguzi. Huwezi kufanya Uchaguzi katikati ya ligi wakati Uchaguzi unatengeneza makundi. Yaani CCM wafanye Uchaguzi wa ndani March 2025 halafu Oktoba ufanyike Uchaguzi Mkuu?Wakati ule Simba Sc ilikuwa kwenye form na hapakuwepo hayo mafigisu ya baada ya uchaguzi, kwa ile form ya wakati ule hata Horoya asingetoka salama pale kwake.
nyinyi mtapigwa zote nje ndaniHaya maneno yenu yataisha jumapili saa 3 usiku
Kesho mna babuliwa Tena,
Mbona kafanana naShabiki wa Simba atakavyokuwa baada ya kipigo cha kesho huko ugandaView attachment 2528696
Kumbuka hii ni Champions League, sio Shirikisho. Mwezi wa nane kuna Super League, sio Champions League wala Shirikisho. unapoilinganisha Simba ulinganishe na mashindano inayoshiriki, sawa bwana mdogo?Tulijaribu kuwaeleza Hawa ndugu zetu kuwa endapo timu hii ingekutana na timu za maana ile hatua ya awali basi hata caf confederation cup isingekuwepo.
Shirikisho lenyewe liliwatoa kamasi mpaka mkaenda kuchoma uwanja wa watu moto ili mpate ushindi lakini wapi mkaambulia kichapo na faini juu ya uchawi wa hadharani sasa unapata wapi mamlaka ya kujimwambafai kuwa unacheza champions league????Kumbuka hii ni Champions League, sio Shirikisho. Mwezi wa nane kuna Super League, sio Champions League wala Shirikisho. unapoilinganisha Simba ulinganishe na mashindano inayoshiriki, sawa bwana mdogo?
Muulize pia anacheza champion league yeye ni champion wa nini?Shirikisho lenyewe liliwatoa kamasi mpaka mkaenda kuchoma uwanja wa watu moto ili mpate ushindi lakini wapi mkaambulia kichapo na faini juu ya uchawi wa hadharani sasa unapata wapi mamlaka ya kujimwambafai kuwa unacheza champions league????
Mkuu Ile game ya horoya tulishamshika kabisa zile nafasi mbili straika mzur anakuachaje pale??? Na mtu akifungwa nyumbani Huwa anapanic mwisho anapigwa nyingi ZaidWakati ule Simba Sc ilikuwa kwenye form na hapakuwepo hayo mafigisu ya baada ya uchaguzi, kwa ile form ya wakati ule hata Horoya asingetoka salama pale kwake.
Hiyo nao sababu? Na endapo Ukifanyika uchaguzi baada ya ligi kuisha na Simba akakosa ubingwa kama ilivyo, makundi hayatakuwepo?Simba ijifunze madhara ya Uchaguzi. Huwezi kufanya Uchaguzi katikati ya ligi wakati Uchaguzi unatengeneza makundi. Yaani CCM wafanye Uchaguzi wa ndani March 2025 halafu Oktoba ufanyike Uchaguzi Mkuu?
Tatizo sio makundi simba shida ni mfumo wa kocha umevuruga team.Simba ijifunze madhara ya Uchaguzi. Huwezi kufanya Uchaguzi katikati ya ligi wakati Uchaguzi unatengeneza makundi. Yaani CCM wafanye Uchaguzi wa ndani March 2025 halafu Oktoba ufanyike Uchaguzi Mkuu?