babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Tulijaribu kuwaeleza Hawa ndugu zetu kuwa endapo timu hii ingekutana na timu za maana ile hatua ya awali basi hata caf confederation cup isingekuwepo.
Bahati mbaya wakajiona Wana timu ya maana baada ya kuzifunga timu mbovu za de Agosto na Nyasa big bullet.
Sasahivi ni mwendo wa vichapo tu iwe ni taifa au ugenini pote wanapigwa tu.
Hii timu irudishwe kwa Mzee kilomoni tu tujue Moja[emoji23][emoji23][emoji23]
Bahati mbaya wakajiona Wana timu ya maana baada ya kuzifunga timu mbovu za de Agosto na Nyasa big bullet.
Sasahivi ni mwendo wa vichapo tu iwe ni taifa au ugenini pote wanapigwa tu.
Hii timu irudishwe kwa Mzee kilomoni tu tujue Moja[emoji23][emoji23][emoji23]