Uchaguzi 2020 Tuliwaambia upinzani ni imani, mkabisha. Kiko wapi?

Uchaguzi 2020 Tuliwaambia upinzani ni imani, mkabisha. Kiko wapi?

Kwenye biashara ya CCM ya kununua wapinzani, imekuwa ya hasara kwa wanunuzi na walionunuliwa. Biashara hiyo imewanufaisha zaidi CHADEMA na kupeleka hasara kubwa kwa CCM.

CHADEMA sasa imebakia na wapinzani halisi, mapandikizi na wachumiatumbo wote wameondoka. Imebakia cream ambayo ni vigumu sana kurubuniwa.

CCM imepoteza pesa
CCM imedanganywa na ikadanganyika kuwa upinzani umekwisha. Wakalegea. Rais Magufuli haonekani kujiandaa kuingia kwenye kampeni za ushindani mkubwa kiasi hiki. Wapinzani bidhaa walimpa imani kuwa kwa kuondoka kwao upinzani, basi upinzani umekwisha. Magufuli amekuwa kama amefumaniwa. Hata kwenye kampeni anashindwa kuongea kitu chochote cha maana cha kuwavuta wapiga kura. Amelazimika kubadilisha mikutano ya kampeni na kuwa matamasha ya muziki.

Walionunuliwa, walitegemea faida mbili. Moja kupata fedha na ya pili kupata ubunge au vyeo vingine vitakavyowapa uhakika wa kuendelea kushibisha matumbo yao. Cha ajabu, walio wengi wamenyimwa hata nafasi ya kuwa wagombea. Wachache sana waliopata nafasi ya kuwa wagombea, uwezekano wa kuchaguliwa ni finyu sana. Hawa baada ya uchaguzi watasahaulika jumla.
 
Subiri tar 28 ndo uje ukomenti hapa! Haya mnayoita mafuriko ni marudio tu, tulisha yashuhudia kwa Mrema, Slaa, funga kazi Edo, hadi tulideki barabara! Yaani lisu hapatati hata 10% ya kura! Msije mkaanza kulia lia bure!

Mwaka huu hakuna wizi wa kura... Tume ikichakachua matokeo hapo ndio mwanzo wa vurugu na damu kumwagika...

Kwa taarifa yako nimekutana na baadhi ya polisi nao wapo upande wa TAL..
 
Subiri tar 28 ndo uje ukomenti hapa! Haya mnayoita mafuriko ni marudio tu, tulisha yashuhudia kwa Mrema, Slaa, funga kazi Edo, hadi tulideki barabara! Yaani lisu hapatati hata 10% ya kura! Msije mkaanza kulia lia bure!
Nilifikiri kupitia mafuriko ya hao uliowataja hapo, ungejua kuwa ccm ilishachokwa tangu zamani, ila ni kwa mbeleko ya dola + tume ndo maana wako hapo walipo.
Kwa akili zako hizo nahisi naww ni miongoni mwa washauri wa "hovyo hovyo" wa jiwe lenu.
Vuneni mlichopanda sasa.
 
Kazi na matendo ya CCM ni "the devil himself" sasa sasa sasa (in the tone of sound of the president in line and being electedTAL) tumkatae "one eye devil" kwa matendo yake yote, na kazi zake zote, na hila zake zote. Akwende kureee.
 
Alipingwa Mungu tena na kiumbe aliyemuumba, sembuse binadamu kutoka Geita.

Ukishaijua falsafa ya kwamba, mahali popote utakapofika/kuwepo, kuna watu watakupenda na wengine watakuchukia hata hutababaika.

Kuna wengine pia watakupenda mwanzoni, matendo yako yatawabadilisha, na wengine watakuchukia mwanzoni lakini kadri ya matendo yako watakukubali.

Hivyo, ajue kabisa kuna watu wanaompenda hata asipojisifia na madaraja yake na mabarabara. Kuna wengine hata ajenge barabara la kwenda mbinguni, hata aongee vipi kusifia, hawatampenda.
Ndugu tuwe wakweli hivi jiwe unaweza mpenda kwa sifa gani kwa mfano?
Mtu ambaye mpaka mke wake anampinga [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Katiba mpya kwao ni mwiba mchungu sana mana wanajua watakuwa wamejichimbia kaburi wenyewe.
 
Vitambulisho vya machinga kaa la Moto?! How?!
 
Kwamba, hao mnao wanunua ni "mizigo" tu wala hawana faida yoyote na mnanunua mtu mmoja ila wafuasi wake (wananchi) wanabaki upinzani mkabisha. Kiko wapi?

Kwamba, mnapo zuia mikutano na maandamano kinyume na "katiba" mnawaudhi sana watanzania. Mkasema ni mda wa kazi tu! Kiko wapi?
Kwamba, kamata kamata ya wapinzani na kuwafungulia kesi 'uchwara' ni kuwaongezea umaarufu wasio kuwa nao mkabisha. Kiko wapi?
Kwamba, mnapo waruhusu wapinzani kusema kwenye majukwaa ya kisiasa, mnapata nafasi ya kujua madhaifu yenu na wapi mrekebishe lkn mkabisha! Kiko wapi?

Leo hii, jiwe wenu anateswa sana na hoja za wapinzani na anahangaika kuzijibu na kurekebisha makosa lkn ni too late haisadii kitu. Kwa mfano suala la 'vitambulisho vya machinga' kama Lissu angekuwepo nchini kwa miaka yote mitano, angesha liongelea mda sana na jiwe angesha lifutilia mbali. Badala yake linaibuka mda wa kampeni na linakuwa kaa la moto linaunguza hatari!

Pole yenu, tulieni sasa mvune mlichopanda.
Kwani Chadema ina wanachama hai wangapi?. Sio kila mass ni wapiga kura wenu, wananchi wengi huja kumwona Lissu wa Ubelgiji ila mioyoni wana yao.
 
Bunge na ccm walishindwaje kuinyoshea kidole serikali kuhusu swala la nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma?
 
Kwamba unataka kusema waliokuwa wanamuaminisha mr haambiliki kafanya wonders Sana kuliko yeyote huko past na staha na level zake ni kuwa kiongozi mkuu wa malaika walimpotosha? Kwamba mtukufu jiwe mtu wa watu msema kweli kipenzi wa Mungu 😆😆😆😆😆 kwamba haihitaji kampeni maana viwonders vyake vinatosha kujiuza.
Jiwe Kama akibahatika kupenya afukuze hao wote vinginevyo akiponyoka saizi atazikwa na ccm 2025
 
Haamini anachokiona!! Leo amepewa tena assignment kama kweli hivyo vitambulisho vya machinga sio vya lazima, basi aifute sheria iliyovianzisha ya waziri wa fedha!!! Sasa atajibu mangapi??
Huwa nawaambia watu kwenye vijiwe huu ni wizi Kama wizi mwingine.Kila mwaka sheria za bajeti na kodi zinaweka ukomo wa mapato yasiyotakiwa kulipiwa kodi,hapo wamachinga wote wanaangukia humo Kama ni kuwatambua haihitaji kutozwa pesa
 
Watu wamepiga hela, watoto wa mjini wamemuingiza chaka Mtupoli.
MaCCM hovyo sana.
Hoja za kuwanyoosha maccm ziko kibao ,kwa mfano miaka yote toka 2016 kila mwaka ripoti za CAG zinaonyesha uozo Sana kwenye serikali na taasisi zake sasa ufisadi na matumizi mabaya ya pesa na upotevu wanaodai kuudhibiti ccm ni upi? Yale mafisadi papa yote yamerudi nyumbani kumenoga yalikozaliwa,kulewa na kuapushwa
 
Nimeamini kila mbabe na mbabe wake.
Magufuli kwa Lissu amelegea, amekua kama gari ya mkaa tripu shamba, tripu gereji. Mtupoli karudi dodoma alipoanzia.
Achana na LISSU kabisa kabisa.
 
Back
Top Bottom