wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
Mwezi wa 9/2021 mimi nilichanjwa chanjo ya Uviko19 aina ya J&J. Baada ya kuchanjwa binafsi sijapata usumbufu wowote
Lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa 12/2021 nilianza kuona mabadiliko makuu matatu katika kufanya tendo la ndoa ÷
1. Mpigo wa kwanza nimekuwa nikishusha ndani ya dakika zisizozidi 5 lakini kwa sasa natumia zaidi ya dakika ishirini kushusha wazungu.
2. Mpigo wa pili nimekuwa nikishusha ndani ya nusu saa. Lakini kwa sasa sishushi hata kama nikishughulika saa nzima. Mpini haulali lakini wazungu sishushi. Mpaka nachoka nashuka toka kifuani pasipo kushusha wazungu.
3. Asubuhi huwa tunaagana na mama kwa kutumia dakika ishirini. Lakini kwa sasa mpini haonyeshi dalili yoyote ya kupeana na mama asubuhi.
Hali hii ya mabadiliko imesababisha mama kuniwazia kuwa huwenda ninashughulika nje ya ndoa.
Lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa 12/2021 nilianza kuona mabadiliko makuu matatu katika kufanya tendo la ndoa ÷
1. Mpigo wa kwanza nimekuwa nikishusha ndani ya dakika zisizozidi 5 lakini kwa sasa natumia zaidi ya dakika ishirini kushusha wazungu.
2. Mpigo wa pili nimekuwa nikishusha ndani ya nusu saa. Lakini kwa sasa sishushi hata kama nikishughulika saa nzima. Mpini haulali lakini wazungu sishushi. Mpaka nachoka nashuka toka kifuani pasipo kushusha wazungu.
3. Asubuhi huwa tunaagana na mama kwa kutumia dakika ishirini. Lakini kwa sasa mpini haonyeshi dalili yoyote ya kupeana na mama asubuhi.
Hali hii ya mabadiliko imesababisha mama kuniwazia kuwa huwenda ninashughulika nje ya ndoa.