#COVID19 Tuliyochanjwa chanjo ya UVIKO-19 na kuona athari zake tukutane hapa

#COVID19 Tuliyochanjwa chanjo ya UVIKO-19 na kuona athari zake tukutane hapa

Jitahidi kuamini kuwa sababu siyo chanjo.

Hii imani itafanya ushindwe kufanya hata hicho kimoja.
 
Pole sana kwa changamoto
Ushauri wangu funga siku 3 uombe msamaha kwa Mungu kwa maamuzi uliyoyafanya kuchomwa Chanjo.
Utakuwa sawa utarejea kama mwanzo
 
Mwezi wa 9/2021 mimi nilichanjwa chanjo ya Uviko19 aina ya J&J. Baada ya kuchanjwa binafsi sijapata usumbufu wowote

Lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa 12/2021 nilianza kuona mabadiliko makuu matatu katika kufanya tendo la ndoa ÷

1. Mpigo wa kwanza nimekuwa nikishusha ndani ya dakika zisizozidi 5 lakini kwa sasa natumia zaidi ya dakika ishirini kushusha wazungu.

2. Mpigo wa pili nimekuwa nikishusha ndani ya nusu saa. Lakini kwa sasa sishushi hata kama nikishughulika saa nzima. Mpini haulali lakini wazungu sishushi. Mpaka nachoka nashuka toka kifuani pasipo kushusha wazungu.

3. Asubuhi huwa tunaagana na mama kwa kutumia dakika ishirini. Lakini kwa sasa mpini haonyeshi dalili yoyote ya kupeana na mama asubuhi.

Hali hii ya mabadiliko imesababisha mama kuniwazia kuwa huwenda ninashughulika nje ya ndoa.
Asubuhi huwezi kwakuwa na stress za kodi ya meza ila siku ukiwa na uchumi vizuri Hali itabadilika.Ila huyo mwanamke anakuvumilia sana, mbili wakati wa kulala na asubuhi unataka moja. Ndo maana huyo wife huwa anatembea kama amekatika centre bolt
 
Mwezi wa 9/2021 mimi nilichanjwa chanjo ya Uviko19 aina ya J&J. Baada ya kuchanjwa binafsi sijapata usumbufu wowote

Lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa 12/2021 nilianza kuona mabadiliko makuu matatu katika kufanya tendo la ndoa ÷

1. Mpigo wa kwanza nimekuwa nikishusha ndani ya dakika zisizozidi 5 lakini kwa sasa natumia zaidi ya dakika ishirini kushusha wazungu.

2. Mpigo wa pili nimekuwa nikishusha ndani ya nusu saa. Lakini kwa sasa sishushi hata kama nikishughulika saa nzima. Mpini haulali lakini wazungu sishushi. Mpaka nachoka nashuka toka kifuani pasipo kushusha wazungu.

3. Asubuhi huwa tunaagana na mama kwa kutumia dakika ishirini. Lakini kwa sasa mpini haonyeshi dalili yoyote ya kupeana na mama asubuhi.

Hali hii ya mabadiliko imesababisha mama kuniwazia kuwa huwenda ninashughulika nje ya ndoa.
Nyie watu, huwa nawasangaa kabla ya kuwashangaa. Kipimo cha Corona kipo mitaani sasa hivi na bei yake ni 20,000 tu. Dawa nayo ipogo
Kipimoo.jpeg
Kipimo.jpeg


Jinsi ya kupima ni rahisi - Ushindwe mwenyewe
 

Attachments

  • Jinsi ya kujipima.mp4
    15.3 MB
Tafuta hela na uache kugegeda asubuhi
 
Asubuhi huwezi kwakuwa na stress za kodi ya meza ila siku ukiwa na uchumi vizuri Hali itabadilika.Ila huyo mwanamke anakuvumilia sana, mbili wakati wa kulala na asubuhi unataka moja. Ndo maana huyo wife huwa anatembea kama amekatika centre bolt
Hiyo ndiyo dose kamiili chini ya hapo utasaidiwa.
 
Mwezi wa 9/2021 mimi nilichanjwa chanjo ya Uviko19 aina ya J&J. Baada ya kuchanjwa binafsi sijapata usumbufu wowote

Lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa 12/2021 nilianza kuona mabadiliko makuu matatu katika kufanya tendo la ndoa ÷

1. Mpigo wa kwanza nimekuwa nikishusha ndani ya dakika zisizozidi 5 lakini kwa sasa natumia zaidi ya dakika ishirini kushusha wazungu.

2. Mpigo wa pili nimekuwa nikishusha ndani ya nusu saa. Lakini kwa sasa sishushi hata kama nikishughulika saa nzima. Mpini haulali lakini wazungu sishushi. Mpaka nachoka nashuka toka kifuani pasipo kushusha wazungu.

3. Asubuhi huwa tunaagana na mama kwa kutumia dakika ishirini. Lakini kwa sasa mpini haonyeshi dalili yoyote ya kupeana na mama asubuhi.

Hali hii ya mabadiliko imesababisha mama kuniwazia kuwa huwenda ninashughulika nje ya ndoa.
Malizia ndani ya daladala kama wafanyavyo wenzako.
 
Mbona Gwaji girl alisema wao baada ya kuchanja mambo yalikua bulbul. Tatizo ni wewe mwenyewe usisingizie chanjo.
 
Back
Top Bottom