Hapo ndo kwenye utata kodi hazitumiki ipasavyo kwenye maendeleoAkili nyingine sijui hata mmeziokota au ndio hizi za kuzaliwa nazo?
Hakuna mtu anapinga kulipa kodi enyi wapumbavu , kinachopingwa ni utaratibu mbaya na mazingira ya hizo kodi zenu. Umeua biashara, umeshindwa kutengeneza mazingira rafiki, umeshindwa hata kuvutia wawekezaji halafu unabwabwaja eti watu walipe kodi, na wakishalipa kodi hela zao unazifanyia nini ambacho kitawanufaisha walipa kodi kama sio kuzitumia kwenye chaguzi za kijinga.
Mnatumwa kuja kuandika tu bila hata kuwahoji wanaowatuma.