Tulokutana na visa humu JF vilivyotufanya tutaman kubadili majina yetu tukutane hapa,naanza mimi kuelezea yalonikuta

Hahahahahaaa mnafuatiliana sio?
 
Ahsante kwa kuwa

muelewa...wewe ni fast learner...ikizingatiwa na leo ni birthday yangu
kuna kitu nitakutunuku kwa kweli....
Hongera kwa kuishinda nafsi yako na kuupa nafasi moyo wako uongee na mimi....
ikigijo
Happy born day, Mungu akupe hitaji la moyo wako!! Akupe nguvu ya kutimiza malengo yako!!!
 
Happy born day, Mungu akupe hitaji la moyo wako!! Akupe nguvu ya kutimiza malengo yako!!!
Ahsante sana sana hitaji la Moyo wangu unalijua fika jamani...nitafurahi kama utalipokea....
 
ikigijo ni mtafutaji kama hujui. Miezi mitatu iliyopita alisema ni Bithday yake. Sijui ana Birthday ngapi kwa mwaka
Nashukuru na wewe kujua kuwa natafuta...inawezekana yeye alikuwa haamini
kwa bandiko lako umenisaidia sana Mkuu...wanaotafuta ndo hupewa...😉
 
Bila shaka utakua umetumwa na C.E.O max uje kuokoa jahaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…