Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Nini sasa babu unabishana na mtumishi shunie mwenye upako wakeMmmmmh....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini sasa babu unabishana na mtumishi shunie mwenye upako wakeMmmmmh....
Thanks for your adviceNeema niwagila athari walizopata watu humu JF ni kubwa mno. Hawa wanaojilipua na kutoa ushuhuda inawezekana ikawa chini ya 5%. Bahati mbaya wengi walifungua milango kwa kupitia PM hatimae kupeana contact zingine kilichofuata hapo ni majanga na majuto. Mbinu zinazotumika ni nyingi ikiwemo kusifiwa sana .. utasikia mara ohhh wewe una akili sana... Uko vizuri sana.. natamani nikufahamu nk. Wengine hujisifia sana na kujibust ... wana miradi mikubwa... wana uwezo mkubwa... wanaishi nje ya nchi (kama nayo ni previledge)... wana michongo ya maisha.... Wataalamu wa jambo fulani....Wana influence na mtu au taassisi fulani.... wazoefu wa jambo fulani... Wengine wana mtandao wenye lengo linalofanana.Ukiingia kwenye taming yao basi inakuwa "deal done". kitakachofuata ni siri yako.
TAKE CARE !!!!
HayaNshakuambia staki uende kule... we veepee???
Hahahaaa....!!Aisee ata Mimi mkuu ata nitoe point vip raia wanakomaa kwanini naniita Young murrah
[emoji122] [emoji123]Hahahaaa....!!
Young Murrah baby..
Vipi mkuu...!![emoji122] [emoji123]
Sorry for you dearWengi huniona km kahaba hahahahahaaa hainipi taabu naenjoy tu
Kuna mwanaume huku kwetu anaitwa Sakayo.Mara nyingi saaana wanadhani mie ni mwanaume!!! Ila hainisumbui kabisa
Ulimkubalia ama , ila nahisi namna yako ya kuchangia ilikua na mashaka naomba niingie mzigon kufatilia comment zakoMimi kuna mjinga aliwahi kuja PM na kuanza kunitongoza akijua ni KE
Nasubiri mrejeshoUlimkubalia ama , ila nahisi namna yako ya kuchangia ilikua na mashaka naomba niingie mzigon kufatilia comment zako
Lord have mercy
Ok tulia hapo hapoNasubiri mrejesho
My sweetheart hata usiwajali hao.Wengi huniona km kahaba hahahahahaaa hainipi taabu naenjoy tu
Ha ha ha ha ha haaaNa mie unipeleke huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ewaaaa.... hayo ndo maneno sasa...
Nimesuuzika
Nami nimefulika kabisa!!!
Mpwa vipi tena?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani wewe mwanamke?Mara nyingi saaana wanadhani mie ni mwanaume!!! Ila hainisumbui kabisa
Nadhani Jf itabaki kuwa the best forum.Sasa unafikiri nani ataamini points zilizotolewa na popoma.