Tulokutana na visa humu JF vilivyotufanya tutaman kubadili majina yetu tukutane hapa,naanza mimi kuelezea yalonikuta

Thanks for your advice
 
Mimi kuna mjinga aliwahi kuja PM na kuanza kunitongoza akijua ni KE
Ulimkubalia ama , ila nahisi namna yako ya kuchangia ilikua na mashaka naomba niingie mzigon kufatilia comment zako
Lord have mercy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…