Tuma kwa namba hii wamewatoa knock-out mpaka sasa, mmeona la msingi ni kuzuia VPN?

Tuma kwa namba hii wamewatoa knock-out mpaka sasa, mmeona la msingi ni kuzuia VPN?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Inasikitisha sana na kutia uchungu kuwa na Waziri mzigo kwenye wizara muhimu kama hii. Badala ya kuwa vinara wa kutetea uhuru wa maoni na kukinda taarifa binafsi na faragha za wananchi wenyewe ndio wanakuwa wa kwanza kuminya uhuru wa maoni, kuingilia faragha za watu na kutunga sheria kandamizi ambazo haziminyi tu uhuru wa maoni na kuhatarisha faragha za watu bali pia linaua ubunifu, hii ni hatari!

Inasikitisha kwamba wanachofikiria ni kushinda tu uchaguzi na kujisafishia njia mapema ili upuuzi wowote watakaofanya upite bila shida yoyote.

Bado hawajifunzi kuwa sheria hizi si kwaajili ya watu fulani tu, hata wao zitawaathiri siku moja, lakini pia vizazi zao vitakuja kuathirika na upumbavu huu wanaoutengeneza sasa kwa kuwa na uoni unaoishia tu kwenye pua zao!

Nape ulikuwa miongoni mwa watu waliotia ngumu mapendekezo ya sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi yalipoletwa, ulipodukuliwa na mazungumzo yako na Kinana kuachiwa kwa hewa ndio ukajua kumbe hata wewe yanaweza kufika. Sasa inakuaje unataka kurudia makosa na kuacha mambo ya kipuuzi kama haya yafanyike? Unatia aibu kwa cheo unachokisimamia!

Rekebisheni jambo hili, mnazidi kuididdimiza nchi kwa tamaa zenu za muda mfupi. Halafu kila siku mnatupigia kelele mmefungua nchi, kwa mambo ya kipuuzi kama haya?
 
Hakuna wataalamu wa chochote nchi hii.
* Madaktari hovyo.....ndiyo maana wenye hela huenda kutibiwa nje maskini mnakufa hovyo.

*Watabiri wa hali ya hewa hovyo. ...ndiyo maana tyliambiwa kutakuwa na El Nino kuanzia mwezi wa 9 mwishoni lkn mpk leo kimya.

*Wahandisi hovyo....ndiyo maana mpk leo kandarasi za ujenzi.mkubwa zinafanya na makampuni ya nje.

*Wataalamu wa TEHAMA hovyo. Kwahiyo msitaraie TCRA watakuwa na uwezo wa kumkamata hata tapeli wa simu. Hawawezi!!

*Wachumi hovyo....

N.k
 
Wakuu,

Inasikitisha sana na kutia uchungu kuwa na Waziri mzigo kwenye wizara muhimu kama hii. Badala ya kuwa vinara wa kutetea uhuru wa maoni na kukinda taarifa binafsi na faragha za wananchi wenyewe ndio wanakuwa wa kwanza kuminya

Rekebisheni jambo hili, mnazidi kuididdimiza nchi kwa tamaa zenu za muda mfupi. Halafu kila siku mnatupigia kelele mmefungua nchi, kwa mambo ya kipuuzi kama haya?
Kipaombele cheru ni VPN
 
Hakuna wataalamu wa chochote nchi hii.
* Madaktari hovyo.....ndiyo maana wenye hela huenda kutibiwa nje maskini mnakufa hovyo.

*Watabiri wa hali ya hewa hovyo. ...ndiyo maana tyliambiwa kutakuwa na El Nino kuanzia mwezi wa 9 mwishoni lkn mpk leo kimya.

*Wahandisi hovyo....ndiyo maana mpk leo kandarasi za ujenzi.mkubwa zinafanya na makampuni ya nje.

*Wataalamu wa TEHAMA hovyo. Kwahiyo msitaraie TCRA watakuwa na uwezo wa kumkamata hata tapeli wa simu. Hawawezi!!

*Wachumi hovyo....

N.k
Bumunda

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Mleta Uzi kama unataka kutumia VPN tumia tu, hakuna mwenye uwezo wa kujua kama unatumia. Hiyo mikwara mbuzi usiiogope. Watu tunatumia VPN mwanzo mwisho na hakuna yoyote ameweza kutuona ama kutuzuia.
 
Back
Top Bottom