Tuma salama kwa member watatu!

Tuma salama kwa member watatu!

Ahsante mkuu
Okay... ni magnifico wa tam tam salam club, namvutia waya ndugu yangu donlucchese toka tandale kwa makambale mkabala na Bahari mpya namwambia nqmkubali sana, pili The bold toka JF PRISON namwambia piga moyo konde kaka, mwisho zimfikie mshkaji wangu wa dhati chige toka soko la korosho masasi karibu na kibiti tumepoteana kaka...

Ujumbe , Pambana na hali yako.

Naachia line ndugu mleta mada.
 
Back
Top Bottom