Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Baby kwenda Zanzibar umeghairi tusiende? HannahNatuma salamu kwa my partner in crime, Its Pancho 😍😍😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby kwenda Zanzibar umeghairi tusiende? HannahNatuma salamu kwa my partner in crime, Its Pancho 😍😍😍
Punguza vituko🤣Waoooh! kuitwa kipenzi ni neema hii Dah! kama nimeokota burungutu la hela
Kidumu chama Cha ma jobless pro maxNatuma samaleko zangu kwa RAIS WA MAJOBLESS PROMAX Intelligent businessman na uwongozi wake wote wa Chama Cha Majobless Promax Bolotoba min -me
Salamu kwako. Careful when you eat, if you eat everything you might eat poison.
kweli vilePunguza vituko🤣
Sawa sawa, una dhani mi nita bishana!.Salamu kwako. Careful when you eat, if you eat everything you might eat poison
Make sure you look for meNawasalimu hawa warembo:
realMamy mrembo wa JF
Joanah super woman wa JF
Qashy Lilith unique woman wa JF maua yako unastahili
Eh atakuua siunawajua wa sambaa ngoja tumuite Tate Mkuu umelivua pendo siku moja kabla ya valentinePopote ulipo mpenzi wangu mpya SweetyCandy niliyemnyakua kutoka kwa Tate Mkuu nakusalimu kwa jina la Valentine mungu akupe maisha marefu kipenzi changu. naitwa holoholo kutoka Bukavu DRC.
Karibu shosti, nyumba kwa nyumba hadi kieleweke 😄Nakuwa mpiga kampeni wako. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app