Tumaini kwa waliokosa mkopo HESLB

Zgerald95

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
235
Reaction score
59
Kuna uvumi unaozagaa mitandaoni na sehemu mbalimbali kuwa kwa wale waliokosa mkopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015.

HESLB wata release majina ya watu wengine watakao pata mkopo ifikapo jumatatu tarehe 13 october.

Na hii inatokana na ukweli kwamba mwaka huu idadi kubwa ya watu wamekosa mkopo ukilinganisha na mwaka jana.

Mfano mwaka jana wanafunzi walio na sifa ya kujiunga na vyuo vikuu 12000 walikosa mkopo anbapo wanafunzi 28000 mwaka huu pia wamekosa mkopo zaid ya mara mbili ya mwaka jana.

Je habari hizi ni za kweli? Wenye kuelewa kuhusu hili jambo karibuni kuchangia.
 

Hiz n stor za kitaa, kwa waliokosa mkopo wajipange i.e warudi alternative ii, hali ni ngumu, ssm hawana hela, kumbuka wanajiandaa na Uchaguzi mwakani.
 
Waliopata mkopo wenyewe wengi ni chini ya asilimia 30, HESLB wanadharau sana kuna mwingine wamempa sh 4000 kama tuition fee

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
jamani watarudaia kweli kutoa mkopo?

ina maana not secured ndio ata boom amna wadau kwa tuliokosa mkopo ata pesa takujikimu mbona mwaka huu amna desh wala zero tujue ebu nisaidien wadau.
 
ina maana not secured ndio ata boom amna wadau kwa tuliokosa mkopo ata pesa takujikimu mbona mwaka huu amna desh wala zero tujue ebu nisaidien wadau.



Kama haujasecure means hawakupi hata mia,kuanzia ada hadi boom lenyewe kaka

Pole sana
 
Hiz n stor za kitaa,kwa waliokosa mkopo wajipange i.e warudi alternative ii,hali ni ngumu,ssm hawana hela,kumbuka wanajiandaa na Uchaguzi mwakani.

Acha kutuchanganya na wewe , Sasa SSM inaingiaje hapo au ndo walewale mnaoleta masuala ya kitaalamu kisiasa .

Good adve is to go loan board to request yoer needs, not more. Kama utatka kujiaminisha eti wanasiasa au chama cha siasa chenye mlengo wako, kitabadilisha upepo kama wale wanaserma wakishikam nchi itakwa ruksa kwa wanawake kluzaa kwa kadri ya uwezo wao.

Acha hizo.:spit:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…