Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa magufuli na ndio waliyomfitini sabaya kwa samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo...
Tulia wewe! Acha vyombo vya sheria vifanye kazi yake kwa uhuru. Si mlishangilia kipindi kile mkijua kazi imekwisha! Kumbe ndiyo kwaanza imeanza.
 
Tulia wewe! Acha vyombo vya sheria vifanye kazi yake kwa uhuru. Si mlishangilia kipindi kile mkijua kazi imekwisha! Kumbe ndiyo kwaanza imeanza.
Kazi ya wahuni 'fisadi' kurejea ulingoni?
 
Kufanikisha jimbo la hai kutwaliwa na CCM mwaka 2020 ni hoja ya skuli ya vidudu! Kuna Jimbo gani halikuchukuliwa 2020? By the way Sabaya alikiri Clouds alimkata mtu sikio! Aliulizwa unatuhumiwa kumkata mtu sikio...jibu ALISTAHILI! mnapata wapi nguvu ya kumtetea huyu?
 
N
Tulionya mapema sana lakini mkatupuuza , alipokuwa anatenda uhalifu na kurekodiwa ulitegemea nini ?
Nchi ina watu wapuuzi sana hii. Ati mtu afanye unyama dhidi ya binaadamu wenzake kisha akishtaakiwa inahusishwa siasa. Jamani siasa ni sayansi. Tumeisoma miaka mitatu pale mlimani hakuna tuliposoma kwamba MA DC wapigilie watu misumari miguno sembuse kutembea na silaha wakitengeneza majeshi yao
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Ni mahakama kuona hana hatia ama kuna vipengele vya kisheria DPP alikosea sababu wanaweza kukata rufaa wakaifungua upya hiyo kesi.

Maovu waliyoyafanya hakina Sabaya, Makonda na wenzao hawastahili kuwepo uraiani. Wanatakiwa wawe jela.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Mumeo Sabaya ataozea jela tu..
Yee si alikata watu masikio na kupiga watu miaumari..?!
Mbona bado sana..
Hizo ni rasharasha tu.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.

Nani kasema Sabaya Hana hatia?. Halafu haikuwa mahakama ya Rufaa ilikuwa mahakama Kuu.

Tofautisha Procedural errors na Conviction. Kwenye Rufaa hawakuangalia conviction waliangalia maeneo gani procedures zilikosewa na Prosecution pamoja na mahakama. Ila haikusema Sabaya Hana hatia. Prosecution wanao uwezo wa kufungua trial de Novo na kurekebisha kasoro zilizotokea.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Uko sahih Kuna ukabila Sana ktk hi kesi

Baada ya sabaya kupangua kesi kubwa ile ya unya nganyi wamekata Moto wachaga wote sas wanasubiri kesi ya pili ya mroso na wamesikia kuwaj jamaa ataachiwa pia sas wamemkimbiza Moshi ili kusud jamaa akichomoa kesi hyo awe na kesi nyingine

Ni kweli sabaya ananidai laki Saba ila simuombee kufungwa ila kweka anataka kuwafurashisha ndugu zake tu
 
Uko sahih Kuna ukabila Sana ktk hi kesi

Baada ya sabaya kupangua kesi kubwa ile ya unya nganyi wamekata Moto wachaga wote sas wanasubiri kesi ya pili ya mroso na wamesikia kuwaj jamaa ataachiwa pia sas wamemkimbiza Moshi ili kusud jamaa akichomoa kesi hyo awe na kesi nyingine

Ni kweli sabaya ananidai laki Saba ila simuombee kufungwa ila kweka anataka kuwafurashisha ndugu zake tu

Unajua unacho ongea?. Leo wachaga ndio wanafungua kesi?. Anayefungua kesi ni Jamhuri. Ingekuwa rahisi hivyo makonda angekuwa tayari kafunguliwa kesi.
 
Pale jambazi anapomtetea jambazi mwenzake!! Sabaya anateseka kwa sababu ya matendo yake maovu!!

Ina maana kati ya watu wooote waliokuwa viongozi kwa nn yeye tu ndo aswekwe jela, lazima alikuwa ana matatizo kwenye uongozi wake!!

Anavuna alichopanda!!
 
Back
Top Bottom