Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Kumbe alitenda maovu unakiri?
 
Pale jambazi anapomtetea jambazi mwenzake!! Sabaya anateseka kwa sababu ya matendo yake maovu!!

Ina maana kati ya watu wooote waliokuwa viongozi kwa nn yeye tu ndo aswekwe jela, lazima alikuwa ana matatizo kwenye uongozi wake!!

Anavuna alichopanda!!
Kwanza kumtetea Sabaya ni laana mbele za MUNGU
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Le general Sabaya hata mumtee vipi hachomoki. Matendo yake maovu mengi alikuwa akiyatenda watu wakimuona kwa kiburi kutoka kwa baba yake ibilisi. Ni muda muafaka sasa walimwengu waone kuwa Mungu huwa hali chapati ndo maana neno lake utimia.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Acha ufala basi hata kidogo.
 
"Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni...."
Mkuu mahakama haikumwachia huru kwa hoja kwamba hana hatia, ila kulikua na technical faults kwenye proceedings ambazo kwazo mfungwa Sabaya alizitumia kukata rufaa kupinga hukumu.
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Mchangieni mume wenu huko watu wanambokoa kinyama sana
JamiiForums1601347157.jpg
 
wajinga wakubwa hawa. hakuna first wala second citizen hapa. acha sheria ichukue mkondo wake
 
Tulionya mapema sana lakini mkatupuuza , alipokuwa anatenda uhalifu na kurekodiwa ulitegemea nini ?
Sisi tunasema ni kesi za mchongo wa mafisadi. Na ndio maana ametoka kifungo cha miaka 30 kwenye rufaa. Na hizo kesi nyingine atashinda tu hata mukiwstumia kina tumaini kweka. Wenye kupenda haki tutahakikisha anatoka kwa rufaa.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Hamia Somalia
 
Huyo Tumaini Ni mhalifu tu aliyepo kwenye utumishi wa uma.

Analinda wahalifu wenzake kwa kumnyanyasa mzalendo.

Wanafanya matendo maovu ila mwisho wa siku watapata aibu tu.
 
Wakati Magu anaua watu tuliwaambia hamkusikia.
Leo serikali mpya na yenye utu imeanza kutenda haki,nyie mnalialia.
 
Huyo Tumaini Ni mhalifu tu aliyepo kwenye utumishi wa uma.

Analinda wahalifu wenzake kwa kumnyanyasa mzalendo.

Wanafanya matendo maovu ila mwisho wa siku watapata aibu tu.
Acha ujinga,
"Sabaya ndiye mzalendo"?
Basi wazalendo ni watu wa kuuawa.
 
Ni mahakama kuona hana hatia ama kuna vipengele vya kisheria DPP alikosea sababu wanaweza kukata rufaa wakaifungua upya hiyo kesi.

Maovu waliyoyafanya hakina Sabaya, Makonda na wenzao hawastahili kuwepo uraiani. Wanatakiwa wawe jela.
Na atashinda kesi zote maana -akuna hata moja ina ushahidi. Ni chuki tu za mliyozoea vya kunyonga. Utasikia ooh sabaya kapiga mtu msumari, ooh kaua watu etc. Tuone basi ushahidi mnaleta wale wsuza gongo na wafanya magendo eti ndi mashahadi.
Take note unitafute siku sabaya atashinda mikwala yenu.
Mlaaniwe wote.
 
Na atashinda kesi zote maana -akuna hata moja ina ushahidi. Ni chuki tu za mliyozoea vya kunyonga. Utasikia ooh sabaya kapiga mtu msumari, ooh kaua watu etc. Tuone basi ushahidi mnaleta wale wsuza gongo na wafanya magendo eti ndi mashahadi.
Take note unitafute siku sabaya atashindwa mikwala yenu.
Mlaaniwe wote.
Zile CCTV zikimuonyesha kwa amaenei tofaiti akifanya ushenzi unataka kusema nii za kutengeneza?

Aisee itabidi upimwe akili!
 
Back
Top Bottom