christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Sijui kuna uhusiano gani kati ya kutokuwa na akili na mashabiki wa Yanga? Sijui kwakweliHabari wanajukwaa,
Leo naona tumalize utata wa nani zaidi kati ya viungo hawa wawili. Wote ni viungo wazuri, ila mmoja ana uwezo zaidi anapokuwa kulia na mwingine anapokuwa upande wa kushoto.
Kitakwimu za ufungaji wa magoli tofauti si kubwa sana katika idadi ya magoli. Ukija katika uwezo wa kumiliki mipira na kudrive Moloko ana uwezo binafsi wa kuwapita mabeki na si kutegemea kuwekewa mipira ya kupenya kama ilivyo kwa mwenzake.
Je, unawazungumziaje wachezaji hawa?
Usiingie kwwnye mtego wa mtoa mada, huyo anataka ubishani usiokuwa na maana. Unamshindanishaje Chama na Moloko? Yaani ni sawa na usema Nyerere na Mwigulu nani zaidi?Hivi wanaosema Sema Chama anakuwa mbaya team ikizidiwa, na mzuri team ikiwa inamiliki mpira, wanawaza nini ? Hivi nichezaji gani anakuwaga bora team ikiwa imezidiwa? Juzi tu Argentina ilifungwa na na Saudia na Messi akiwa ndani.
Tunachoangalia ni overall performance ya mchezaji katika team. Chama ameamua mechi nyingi sana muhimu kwa Simba ukianza ya Nkana, Al alhy, AS Vita na ya juzi ya Horoya. Amekuwa bora siku zote, killer pass nyingi sana, statistics zake za ndani ya ligi yetu na nje kwa maana ya mashindano ya caf yanambeba Chama, So far ndy top scorer kwa hii Champions league. Tatizo mnapenda kujadili mambo kwa ushabiki kuliko uhalisia, na mnajadili bila ya kuwa na takwimu.
Uchambuzi wa nini kukalia ule mwiko wenu huko nyuma?Tujikite kwenye uchambuzi tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisha mpuuzaAchan nae mchumba.
Asikuumize kichwa