Kwa takriban mwezi mmoja sasa tasnia ya Muziki nchini Marekani imekuwa kwenye hatua za Back to Back kutoka kwa Mastaa wa Hip Hop, Drake na Kendrick Lamar ambao wamekuwa wakichapana Diss Track kila siku.
Sasa hebu tumalize hili jambo kwa idadi ya ngoma zilizotoka na kilichoimbwa, nani kapotezwa mpaka sasa?
Kendrick needs this beef than Drake. Labda kwa ajili ya haters au ni trend tu ndio maana They not like us imekuwa gumzo. Kabla ya summer haijaisha watu watakuwa washasahau. I'm not a fan, lakini nina ukakika Drake atatoa ngoma itasikilizwa Duniani.
Kendrick needs this beef than Drake. Labda kwa ajili ya haters au ni trend tu ndio maana They not like us imekuwa gumzo. Kabla ya summer haijaisha watu watakuwa washasahau. I'm not a fan, lakini nina ukakika Drake atatoa ngoma itasikilizwa Duniani.