sokoMchizi
Member
- Oct 15, 2022
- 50
- 210
Pesi is the bestTumalize Utata, soda ipi pendwa na nzuri zaidi kati ya Pepsi na Coca-cola View attachment 2478158View attachment 2478159
Denied beverageKuna watu bado wanakunywa Coca...
!?
y notKuna watu bado wanakunywa Coca...
!?
😄😄 Mkojo mkubwa au mdogo?mimi naipenda Mirinda Nyeusi, pale unamalizia fundo linaishia kwa oesofagus, kama inachonyota hivi, raha kama unakojoa vile
Huu Uzi bila mirinda nyeusi na chipsi kavu ni batili🚮Tumalize Utata, soda ipi pendwa na nzuri zaidi kati ya Pepsi na Coca-cola View attachment 2478158View attachment 2478159
atakua amemaanisha mkubwa[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1] Mkojo mkubwa au mdogo?
Mkuu unapenda marinda mieusi?!mimi naipenda Mirinda Nyeusi, pale unamalizia fundo linaishia kwa oesofagus, kama inachonyota hivi, raha kama unakojoa vile