Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
SahihishaKuni shs trip Moja shs 300,00
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihishaKuni shs trip Moja shs 300,00
Zoezi la kwanza ni kuweka makisio ya kiasi cha hekari za tumbaku ktk cham cha msingi unachotarajia kulimia ili uwekwe kwenye orodha ya mgao WA pembejeo. Baada ya hapo ni kujenga nyumba za kuchomea tumbaku yaani mabani.
Mabani hujengwa kwa tofali mbichi au zakuchomwa.
Hatua inayofuata ni kuaanda mbegu zoezi linalochukua wastani wa miezi 2 hadi kuzipanda shambani. Kumbuka kilimo cha tumbaku kwa asilimia kubwa unapewa pembejeo ambazo ni mbolea,madawa na fedha ili kuendeshea kilimo hicho.
Uvunaji na hatua zingine hadi masoko pamoja na faida ya zao hili taeleza wakati mwingine