Tumbaku ni dawa ya magonjwa ya kuku?

Tumbaku ni dawa ya magonjwa ya kuku?

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,292
wakuu heshima kwenu.
_kuna jamaa yangu naye ni mfugaji kama mimi alianza na kuku wachache sana sasa ananiambia anao 60 ndo nikawa namwambia anatumia dawa gani kuwatibia nikawa namwambia wa kwangu wanakufa sana!
_ndo akaniambia yeye hajawahi kwenda dukani kununua dawa anawapa katika maji tumbaku ile kama imesindikwa anakata kipande anachanganya kwenye maji hadi ikolee kiasi alafu mara tatu kwa week, anaiambia hata kama kuku alikuwa anasinzia ndani ya two hrs anakuwa ameshazinduka.
_akanipeleka anaponunulia kipande sh 300 nikanunua kimoja nataka nikawape nione.
_Ila kabla ya kuwapa nataka niwaulize kama kuna member ameshawahi kuitumia hiyo tiba ya kiasilia
 
Nenda kawape mkuu Ili wewe uwe shahidi namba moja wa hiyo experience ...
Pia usisahau kutupa mrejesho na sisi tujifunze through wewe ..!!
 
wakuu heshima kwenu.
_kuna jamaa yangu naye ni mfugaji kama mimi alianza na kuku wachache sana sasa ananiambia anao 60 ndo nikawa namwambia anatumia dawa gani kuwatibia nikawa namwambia wa kwangu wanakufa sana!
_ndo akaniambia yeye hajawahi kwenda dukani kununua dawa anawapa katika maji tumbaku ile kama imesindikwa anakata kipande anachanganya kwenye maji hadi ikolee kiasi alafu mara tatu kwa week, anaiambia hata kama kuku alikuwa anasinzia ndani ya two hrs anakuwa ameshazinduka.
_akanipeleka anaponunulia kipande sh 300 nikanunua kimoja nataka nikawape nione.
_Ila kabla ya kuwapa nataka niwaulize kama kuna member ameshawahi kuitumia hiyo tiba ya kiasilia

Habari mkuu!

Kama unatilia mashaka hiyo tumbaku, nakushauri tenga kuku wachache wanaoumwa kasha wape hiyo dawa. Wakileta mrejesho mzuri wadunge wooote tumbaku.

NB: Jali vipimo anayotumia Mjasiri Mwenzetu ili kupata matokeo yanayo tia moyo.
 
Back
Top Bottom