crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,193
- 810
Hallo Doctors, Nisaidie kujua kama kuna jambo tumelikosea ,au limekosewa na wataalamu kuhusu kutorudia hali ya kawaida ya mke wangu baada ya kujifugua.
Ukweli ni kuwa , ujauzito wa kwanza ulikua bahati mbaya baada ya mtoto kutoka akiwa amechoka sana na walilazimika manesi kumvuta, na kuongeza njia sehemu za siri baada ya njia kuonekana ndogo. Hapo ilikuwa Muhimbili 2000. Ujauzito wa pili na wa tatu alifanyiwa operation Mikocheni Hosp.
Ujauzito wa pili actually mtoto alikuwa na kilo 4.9kg kitu ambacho asingeweza kujifungua kawaida. Wa tatu nadhani history ilitumika zaidi na sasa tumeamua kuishia hapo. Sasa cha ajabu tumbo la mke wangu halijarudia hata very close to normal. Anaonekana kama mjamzito wa 4months hivi kitu amabacho we don't feel comfortable with.
Tunafikiria labda kuna mazoezi ya kusaidia hali hiyo lakini hatujapata ushauri wa kutosha ndo maana nimeingia jamvini mnisaidie jamani. I love her and she look very sexy with slim belly .
Ukweli ni kuwa , ujauzito wa kwanza ulikua bahati mbaya baada ya mtoto kutoka akiwa amechoka sana na walilazimika manesi kumvuta, na kuongeza njia sehemu za siri baada ya njia kuonekana ndogo. Hapo ilikuwa Muhimbili 2000. Ujauzito wa pili na wa tatu alifanyiwa operation Mikocheni Hosp.
Ujauzito wa pili actually mtoto alikuwa na kilo 4.9kg kitu ambacho asingeweza kujifungua kawaida. Wa tatu nadhani history ilitumika zaidi na sasa tumeamua kuishia hapo. Sasa cha ajabu tumbo la mke wangu halijarudia hata very close to normal. Anaonekana kama mjamzito wa 4months hivi kitu amabacho we don't feel comfortable with.
Tunafikiria labda kuna mazoezi ya kusaidia hali hiyo lakini hatujapata ushauri wa kutosha ndo maana nimeingia jamvini mnisaidie jamani. I love her and she look very sexy with slim belly .