Tumbo halijarudia hali ya kawaida baada ya kujifungua

Tumbo halijarudia hali ya kawaida baada ya kujifungua

crome20, kuna sababu kama 4 za mtu kuwa na tumbo kubwa.

1. Kujifungua kwa akina mama. Wengi tumbo huwa kubwa na kujirudi taratibu. Kimila wengi hukandwa na kujifunga nguo au kanga ya kubana kwa muda fulani. Mara nyingi njia hii ni ya waliojifungua kawaida.

2. Tumbo kujaa gas au kuwa na gesi: hii inatokana na vyakula tunavyokula

3. Tumbo kuwa na mafuta, ndani kabisa ya viungo vya mwili vilivyo ndani ya tumbo. Na hapa kuna vesceral fat ambayo ni killer fat.

4. Mafuta yaliyopo juu ya tumbo.

Katika case yako sina uhakika, ila ni wazi kuwa kama mama alijifungua kwa OPS basi baada ya kutolewa mtoto tumbo la uzazi bado halijarudi. Gyno wako anaweza kukushauri.

Lakini jaribu pia kufanya yafuatayo:

1. Aobserve healthy diet. Atumie chakula chenye low calories but high vitamins: veggies, matunda, roots food nk.

2. Atumie diet ya kupunguza uzito, assumption ni kuwa tumbo lina mafuta. Aanaweza kutumia juice ya limao moja aweke kwenye maji (glass)ya uvuguvugu na vijiko 2 vya asali. Atumie asubuhi akiamka tu na jioni kabla ya kulala. Pia atumie Green tea na aweke asali badala ya sukari kila anapotaka kunywa chai. Hii ina-burn fat very fast.

3. Afanye therapy ya digestive system once kila baada ya siku 3-5: Achanganganye limao 1 (akamue); Kitunguu swaumu kidogo (Apondponde) na Tangawizi (apondeponde) na kuweka katika glass ya maji ya uvuguvugu. Kisha aweke chumvi ya kutosha na kunywa. Hii inaondoa gesi na kuburn fat.

Kwa details: Mafanikio Na Afya Njema

asante sana i got it mkuu
 
Back
Top Bottom