Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

usiseme yamekushinda jaribu.mimi kila jumamos na jumapili lazima

nifanye mazoezi siku za weekdays huwa nashindwa kwa sababu ya kazi

ila hata weekend huwa nakuwa mvivu lakin nikiwazia mwili wangu naamka bila kupenda tu

Kama una tatizo la high pressure,na unatamani ufanye mazoezi ili kupunguza tumbo,inawezekana?
 
kuna mama mmoja alikuwa na tumbo na weigh balaa.....kutoka 104 kilo

sa hivi ana 84.ni mtu wa mazoezi yeye hali wali wala ugali.akila ni siku moja moja

ndizi za kuiva nazo hali.....asubuhi anapiga glass ya maji vuguvugu 4.chai hanywi akinywa haina sukari kihivo

yeye anakula matunda sana sana na mboga mboga....chips,vyakula vya kukaangwa mafuta mengi nazo sio poa

ana DIET yake nimemwomba kuna shoga angu nae anasumbuliwa na tumbo + uzito akinipa nitakupa

Kuna uwezekano wa kupunguza tumbo tu?na sio kingine?
 
Hahahaaa.. kazana ma'am.. kikubwa ni kujitahidi kukikataa then kila kitu kitakua rahisi kuliko unavyodhani..
Mi siku hizi nimezoea.. asubuhi lazima nifanye mazoezi..then Maji ya uvuguvugu yenye asali.Limao na mdalasini.. wanga na mafuta nimeshapumzika muda wa mwezi sasa...
Kitambi byebyee... no supplement wala nini...
Am really happy now..ukiniangalia utapenda.

Ulipunguza kitambi tu,au na uzito?
 
Hello wanajamii! Nimekuwa nikipokea simu na ujumbe mwingi kuwa hii huduma bado ipo ama laa maana wanasoma post za tangu mwaka 2013. Napenda kuwajulisha huduma inaendelea na kuwapo kimya humu ni kutokana na kazi kuwa nyingi sana. Mtu akiwa na shida yoyote asisite kuendelea kunitumia ujumbe katika email ya ishealthy@hotmail.com au kunipigia kwa namba 0776491294/0713889162. Karibuni sana kwa moyo wa ukarimu sana nipo kuwahudumia
 
Back
Top Bottom