miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
mwallu...............msome Heaven on Earth kwa umakini!!!!!!!!!!na wachangiaji wengine,je unapiga vyombo???????????
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwallu...............msome Heaven on Earth kwa umakini!!!!!!!!!!na wachangiaji wengine,je unapiga vyombo???????????
Ukianza mazoezi ya tumbo kwa sasa litageuka msuli halitapungua wala kuongezeka litakuwa gumu kama gunia la mchanga.
Hii na iingie kwenye rasimu ya katiba mpya.
Watu wote na waseme Amina.
Hii na iingie kwenye rasimu ya katiba mpya.
Watu wote na waseme Amina.
aamina....Hii na iingie kwenye rasimu ya katiba mpya.
Watu wote na waseme Amina.
Uwe unatumia asali ukiamka asubuhi unajipatia maji ya moto then shushia na asali , asali inafanya mwili uwe na nguvu na unakua husikii njaa...mchana kula msosi wa kawaida tu ujishibie kiasi na usiku pata matunda....usinywe maji ya baridi...ukipata wakati uwe unatembea hata dakika 40 hv na ukiweza kuwa unatembea huku unaongea ina burn more calories....muhimu ni uvumilivu na juhudi...hii ndio siri ya mafanikio
Dawa zangu ninazozitangazia hapa ni dawa za Mitishamb hazina Madhara kwa binadamu No Side effects ondosha wasiwasi bibie. Kuhusu vyakula upunguze kula vyakula vya mafuta na pia ufanye mazoezi ya kukimbia kila siku asubuhi na jioni tumbo lako litapunguwa na kuondoka kabisa kama hutaki kutumia dawa zangu. Dawa zangu ni za Mitishamba zilizotengenezwa kwa utaalam wa kisasa Vidonge (Capsule) Hazina Madhara kwa binadamu zimekaguliwa na Mkaguzi mkuu wa madawa huku nilipo .Dawa zangu zinatoka nje ya nchi sio hapo Tanzania ukihitaji wasiliana na mimi kwa njia ya barua ya pepe Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
![]()
FitForm + Plus Dawa ya kupunguza unene,mwili, uzito na mafuta mwilini kitambi.
kila nikutanapo na wewe vinyweleo vinasimama, mume wangu sitaki kuwa m3 anayetafutwa, haraka wahi chumbani nina hamu ujue...........!hii na iingie kwenye rasimu ya katiba mpya.
Watu wote na waseme amina.
shemeji sabal kheri!! Salamu kwa babu! Mwambie najaaaaaa.......!aminaaaaaaa
Kwanza pongezi kwa kugundua kuwa una ugonjwa. Tumbo ni ugonjwa na lina sababisha uzee kwa kasi ya ajabu. Punguza wanga asubuhi kula ushibe mchana kula kidogo na jioni usile kabisa kula matunda tu na ulale. Mazoezi fanya mazoezi ya kukimbia au kutembea kwa miezi 6 tena asubuhi tu. Likishapungua ndip uanze mazoezi ya tumbo.
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani
mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli
msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine
shemeji sabal kheri!! Salamu kwa babu! Mwambie najaaaaaa.......!
hahahahah safari hii zamu yako eee?? Haya bana nangojeajeeeeee??sawa shemeji yangu weeee lol zitamfikia sawia ila mi ndo ntakupokea mlangoni kwanza
walaaa
hata sipigagi